Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
[emoji23][emoji23][emoji23] nyambavu [emoji38][emoji38][emoji38]
Tatizo sio hivyo tatizo umemkuta mtu na familia yake unaivulia heshima nakuingia kwake nakumtoa eti kisa wewe fresh uolewe tafuta wako tatizo sio mboga ile ile tatizo ni jua mahali pako usivuke mmpaka nikija kuolewa mtanijua nyie msio na haya nyambavu.
Mwanaizaya msio na haya mnambwembwe.
Kama nini .
Namkiolewa nanyie mtakuja kuona uchungu wake.