Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Tatizo sio hivyo tatizo umemkuta mtu na familia yake unaivulia heshima nakuingia kwake nakumtoa eti kisa wewe fresh uolewe tafuta wako tatizo sio mboga ile ile tatizo ni jua mahali pako usivuke mmpaka nikija kuolewa mtanijua nyie msio na haya nyambavu.
Mwanaizaya msio na haya mnambwembwe.
Kama nini .
Namkiolewa nanyie mtakuja kuona uchungu wake.
Hongera kwa kuwa na roho nzuri, ama kweli kizuri kula na mwenzio!Wamchukue tu wamchune, wamvurugeee ila wasimpe ngoma, jioni arudi home tulee watoto wetu.
Nitafutie namba za hivyo vibinti mkuuVibinti vya chuo balaa. jamaa yangu alikachukua kamoja kakaja na mwenzie mkewe alikua amesafiri wakiwa sitting room kale kademu kamoja kakaja kumkalia jamaa wakawa wanakulana denda kama la wema sepetu mbele ya mwenzie. genye zilipowapanda kale kademu kakamwambia mwenzie sie tunaingia ndani kugegedana kenzie kakasema poa hapo jamaa na usomi na pesa zake alikua kama poyoyo anaitikia na kucheka cheka tu. Akazama ndani akaanza kukagegeda wakiwa kwenye game kakamambia rafiki yangu nae ametamani namuita aje umpe kidogo. Utadhai movie hiyo ndo hali halisi ya mabint wa chuo. waliona mshikaji ana mkwanja wa maana. Baada ya kugegedana sana jamaa alichunwa kama 150
Keyword: HESHIMAWewe yaonekana ndoa yako imekusida, sasa unatafuta zijisaau tu vya ovyo, achana na mabinti na wanachuo,mutuze mumeo uone kaa atatoka nje ya ndoa, siamini ukimpa mumeo kila kitu, umupatie pia heshima atakua anatanga tanga LA, lakini nyinyi wake wengine mukisaolewa ndio basi, heshima hamna, hata munaacha kuvaa vizuri, sasa kwanini nisione kake kasichana ka mwaka wa pili hapo mzume au uni hapo dar amako kanavaa poa, kanajua heshima, kwanini nishugulike na wewe ambae hata heshima hunipi, KAKUDIVORCE NAKAOA HAKO KABINTI KA CHUO