Maafisa uhamiaji wa Julius Nyerere Airport hawana professionalism

Maafisa uhamiaji wa Julius Nyerere Airport hawana professionalism

Hao wahuni wa airport walishaniirushia ndege wangu siku moja
,Sina hamu nao Mimi.

Kumbe ilikuwa ndy janja yao toka zamani,,
 
Hapa umetupiga kamba na sidhani kama umewahi hata kusafiri nje ya nchi

Naomba nikuelimishe kidogo, ukipita airport lazima utoe taarifa zako binafsi ikiwemo mawasiliano ya ulipotoka na unapokwenda. Lazima uwape maafisa wa mpakani mawasiliano yako kwa maana ya address na kwa bongo lazima utaje namba ya simu waitie kwenye mfumo.

Hasa hao jamaa watalazimishaje kupewa namba za simu na mademu wakati hizo namba wanazo kwenye hayo mamifumo wanayotumia?

Kwa hii story yako hapa najua kabisa umetupiga kamba au ulitaka kutueleza jambo jingine ukachomeka mapenzi ndani............
We jamaa kiazi kweli, mbona unakua inferior kisa nimetaja safari za ng'ambo...kama terminal 3 unaionaga kwa mbali hayo si matatizo yangu jombaa..au ndio mmoja wa wale jamaa wa uhamiaji ni watu wazima lakini hamujiheshimu. Kwanini msichukue namba kwenye system badala yake mnatuchelewesha na kuipaka matope nchi ? Pumbav sana nyie. Msipoacha hii itakuja kuwacost na mnafamilia
 
ulichoandika hakihusiani na maelezo yako, kipi cha ajabu kutongoza, au kuomba namba? mbona jambo la kawaida au ulitaka utongozwe wewe?
We nenda stand ya magufuli,mambo ya airport tuachie sisi ..unajidhalilisha bure
 
Jamaa ww muongo
Hujuia hata emegration policy inavyofanya kazi zake kwenye International airports

Any way sikushangai umesema kwa uelewa wa akili yako ila kama uliwahi kusafiri huwezi kulichafua jeshi lako kwa hoja nyepesi kama hii
 
Jamaa ww muongo
Hujuia hata emegration policy inavyofanya kazi zake kwenye International airports

Any way sikushangai umesema kwa uelewa wa akili yako ila kama uliwahi kusafiri huwezi kulichafua jeshi lako kwa hoja nyepesi kama hii
Hoja nyepesi gani hapo?. Kufanya kazi za kutongoza wakati watu wanasubiri huduma unaona hilo ni sawa?.
 
Naomba nikuelimishe kidogo, ukipita airport lazima utoe taarifa zako binafsi ikiwemo mawasiliano ya ulipotoka na unapokwenda. Lazima uwape maafisa wa mpakani mawasiliano yako kwa maana ya address na kwa bongo lazima utaje namba ya simu waitie kwenye mfumo.

Sio lazima uulizwe maswali hayo mzee baba, taarifa binafsi kama hizi huwa zinakuwepo kwenye maombi ya viza...

Mara nyingi maswali huwa mengi kama afisa ana wasiwasi, na kama kuna maswali mengi zaidi utaingizwa chumba cha nyuma...
 
Hoja nyepesi gani hapo?. Kufanya kazi za kutongoza wakati watu wanasubiri huduma unaona hilo ni sawa?.
Hajaelewa hoja huyu au huenda ni mmoja wao anajifanya kutoelewa
 
Aisee leo nimetoka zangu ng'ambo tukafika kwenye Passport check nimekaa kwenye foleni ya Tanzania Citizens kama dak 20 jamaa wa uhamiaji alikua anamhudumia mdada alokua mbele yangu halafu hamalizi.

Kumbe muda wote jamaa linang'ang'aniza dem alipe namba linamchelewesha makusudi.

Mwishowe yule dada kama akakasirika akampa namba kama kwa kushout kidogo. Basi akamruhusu huyo dada kupita.

Sasa vile vibanda vyao ukishagongewa stamp unapita kwa nyuma kuelekea luggage claim.

Cha ajabu yule jamaa wa uhamiaji akainuka kwenye kiti halafu akageuka akawa anamkadiria yule dada kwa nyuma aone mzigo 😂😂😂. Na hapo kumbuka kuna bonge la foleni tunasubiri tuhudumiwe.

Tulivofika luggage claim yule mdada akawa amemind anamhadithia mwenzake, ajabu na mwenzake akasema nae aliombwa namba na jamaa alomhudumia ila akampotezea.

Kile kitendo kilinikimbusha kisa kimoja ambacho nilikipuuziaga ila hapa ntakielezea maana nadhani hawa maofisa wanashindana kutongoza pale.

Mwaka jana kazini tulikua na regional retreat ilifanyika Tanzania kwa hiyo watu toka mataifa tofauti walikuja.

Basi jioni tupo dinner kuna wadada toka nchi mbalimbali wakawa wanahadithia kila mmoja alivopata kashkash ya jamaa wa uhamiaji pale airport.

Ajabu kila mmoja akawa anaelezea jinsi wahudumu walivyokua wanawatongoza na kuomba namba tena kwa kuwafrustrate.

Na kweli jioni ile kuna jamaa wa uhamiaji walikuja mida tofauti kwenye hotel tuliyokuwepo wakawa wapo parking area wanawatafuta wale foreigners eti wawape kampani.

Kuna mdada mmoja ambae alitoa namba akawa anatuonesha texts za jamaa kuwa yupo parking area na jinsi anavopigiwa WhatsApp calls.

Basi wale wadada wakaishia kutuponda pale ikaisha.
Anyway inaonekana ni kitu kidogo ila nahisi hii hali isipodhibitwa inatia doa taifa maana ni kama wanashindana kutongoza na kufanya watu wasihudumiwe kwa wakati.

Ningewawekea hata namba ya afande wa uhamiaji alotuweka kisa anatongoza, bahati yake nzuri alikua kavaa sweta so namba haionekani
Kazi kweli kweli.
 
Jamaa ww muongo
Hujuia hata emegration policy inavyofanya kazi zake kwenye International airports

Any way sikushangai umesema kwa uelewa wa akili yako ila kama uliwahi kusafiri huwezi kulichafua jeshi lako kwa hoja nyepesi kama hii
Nalichafua jeshi au hao watumishi wenu ndio wanalichafua. Yaani nyie mnahitaji training huenda work ethics halipo kwenye mafunzo yenu. Hakuna anaewakataza kutongoza ila hoja ni kuwa msi-compromise huduma
 
Calendar of Resistance for Palestine! Events and actions around the world

7 October 2023

Everywhere around the world, millions are marching for Palestine. Over 300,000 took the streets of Washington, DC, in the belly of the beast, to stand with the Palestinian people against Zionist genocide. Labourers from Belgium to Japan to Barcelona have refused to load and carry weaponry for the occupation regime, while Block the Boat protests from Oakland to Tacoma have delayed, blocked and confronted US military ships loading war materiel. Palestine Action direct actions are challenging Elbit Systems from Cambridge to Leicester. In train stations, parliamentary and congressional offices and public venues, people are sitting in for Palestinian liberation.

Calendar of Resistance for Palestine! Events and actions around the world
 
Back
Top Bottom