Maafisa uhamiaji wa Julius Nyerere Airport hawana professionalism

Hao wahuni wa airport walishaniirushia ndege wangu siku moja
,Sina hamu nao Mimi.

Kumbe ilikuwa ndy janja yao toka zamani,,
 
We jamaa kiazi kweli, mbona unakua inferior kisa nimetaja safari za ng'ambo...kama terminal 3 unaionaga kwa mbali hayo si matatizo yangu jombaa..au ndio mmoja wa wale jamaa wa uhamiaji ni watu wazima lakini hamujiheshimu. Kwanini msichukue namba kwenye system badala yake mnatuchelewesha na kuipaka matope nchi ? Pumbav sana nyie. Msipoacha hii itakuja kuwacost na mnafamilia
 
ulichoandika hakihusiani na maelezo yako, kipi cha ajabu kutongoza, au kuomba namba? mbona jambo la kawaida au ulitaka utongozwe wewe?
We nenda stand ya magufuli,mambo ya airport tuachie sisi ..unajidhalilisha bure
 
Jamaa ww muongo
Hujuia hata emegration policy inavyofanya kazi zake kwenye International airports

Any way sikushangai umesema kwa uelewa wa akili yako ila kama uliwahi kusafiri huwezi kulichafua jeshi lako kwa hoja nyepesi kama hii
 
Jamaa ww muongo
Hujuia hata emegration policy inavyofanya kazi zake kwenye International airports

Any way sikushangai umesema kwa uelewa wa akili yako ila kama uliwahi kusafiri huwezi kulichafua jeshi lako kwa hoja nyepesi kama hii
Hoja nyepesi gani hapo?. Kufanya kazi za kutongoza wakati watu wanasubiri huduma unaona hilo ni sawa?.
 

Sio lazima uulizwe maswali hayo mzee baba, taarifa binafsi kama hizi huwa zinakuwepo kwenye maombi ya viza...

Mara nyingi maswali huwa mengi kama afisa ana wasiwasi, na kama kuna maswali mengi zaidi utaingizwa chumba cha nyuma...
 
Hoja nyepesi gani hapo?. Kufanya kazi za kutongoza wakati watu wanasubiri huduma unaona hilo ni sawa?.
Hajaelewa hoja huyu au huenda ni mmoja wao anajifanya kutoelewa
 
Kazi kweli kweli.
 
Jamaa ww muongo
Hujuia hata emegration policy inavyofanya kazi zake kwenye International airports

Any way sikushangai umesema kwa uelewa wa akili yako ila kama uliwahi kusafiri huwezi kulichafua jeshi lako kwa hoja nyepesi kama hii
Nalichafua jeshi au hao watumishi wenu ndio wanalichafua. Yaani nyie mnahitaji training huenda work ethics halipo kwenye mafunzo yenu. Hakuna anaewakataza kutongoza ila hoja ni kuwa msi-compromise huduma
 
Calendar of Resistance for Palestine! Events and actions around the world

7 October 2023

Everywhere around the world, millions are marching for Palestine. Over 300,000 took the streets of Washington, DC, in the belly of the beast, to stand with the Palestinian people against Zionist genocide. Labourers from Belgium to Japan to Barcelona have refused to load and carry weaponry for the occupation regime, while Block the Boat protests from Oakland to Tacoma have delayed, blocked and confronted US military ships loading war materiel. Palestine Action direct actions are challenging Elbit Systems from Cambridge to Leicester. In train stations, parliamentary and congressional offices and public venues, people are sitting in for Palestinian liberation.

Calendar of Resistance for Palestine! Events and actions around the world
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…