Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una maanisha wako 'drunk' kwa pombe au 'intoxicated' kwa kutumia madawa ya kulevya nk. Aidha ukisema sobba kwa kumaanisha 'sober' tafsiri sahihi ni hali ya kutokuwa ktk athari ya pombe au kileviVijana wa Bodaboda ni janga...
Ni walevi wa Pombe kali na Bangi, kuwa makini nao wakati wooote wako sobba all the time.
Upepo unawawehushaHivi ni kwa nini mtu akishaanza kuendesha bodaboda anabadilika anakuwa kama kichaa hata kama kabla ya kuanza hiyo kazi alikuwa vizuri. Najiulizaga maswali mengi sijui ni ule upepo unaingia kwenye ubongo au ni lile tenki la petrol lililoko karibu na pua ya mwendesha bodaboda?
Mbona magari yanagongana uso kwa uso tuu nayoMaafisa Waandamizi wa Usafirishaji wamepata ajali Kwa kugonga gari Aina ya Range Rover Kondoa, tuchukue tahadhari kuwalinda maafisa hawa muhimu Kwa Uchumi wetu.
View attachment 2815128
Ofisa mmoja akaijaribu RAV OLD MODELSasa hizi gari si wanasema ni chuma tupu ,kwamba sijaelewa kugongana na pikipiki ndio iwe kama imegongwa na treni.
[emoji23][emoji23][emoji23] ila watuHivi ni kwa nini mtu akishaanza kuendesha bodaboda anabadilika anakuwa kama kichaa hata kama kabla ya kuanza hiyo kazi alikuwa vizuri. Najiulizaga maswali mengi sijui ni ule upepo unaingia kwenye ubongo au ni lile tenki la petrol lililoko karibu na pua ya mwendesha bodaboda?
Jana asubuhi kuna mmoja alivaa gari la wanafunzi, bahati wanafunzi walitoka salaama..... leo nkaona boda kaingia uvunguni mwa gari nyingine ya wanafunzi .....
Waendesha vyombo vya moto wanahitaji utulivu sana ktk maamuzi wafanyayoo