Maafisa utumishi na watu wenye uelewa wa ajira na utumishi wa serikali naomba ushauri

Maafisa utumishi na watu wenye uelewa wa ajira na utumishi wa serikali naomba ushauri

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Kuna jamaa yangu ni mtumishi wa serikali kajiriwa kama mwalimu na kituo chake cha kazi ni halmashauri x na shule x , ana degree ya uhasibu na postgraduate diploma ya ualimu, hivyo kigezo alichoingilia kazini na kumpa ajira ni postgraduade diploma na sasa yupo daraja E anaenda daraja F.

Kilichofanya niombe ushauri na kuliza ni mambo haya , leo kapigiwa simu na afisa utumishi kuwa anatakiwa apeleke halmshauri vyeti vyake vya account ili apelekwe idara ya fadha ya halmashauri yake , yeye hayupo tayari kufanya kazi halmshauri.

Sasa kaniiuliza haya mambo 1. je anaweza kataa uteuzi na sababu anatakiwa atoe zipi 2. zipi hasara anaweza zipata kwa kukataa uteuzi , sababu za yeye kukataa uteuzi ni kuwa biashara zake zimesimama so anaona kwenda halmshauri ni kupoteza muda na atabanwa na ratiba za kazi ambazo zinaweza athiri biashara zake
 
Bora andike barua asingizie ana ugonjwa wowote ambao utamfanya asipew hiko cheo mfano matatizo ya macho au kupoteza kumbu kumbu ila awe na chet na record ya ugonjwa
 
Sasa ikitokea amehamishwa kituo chake cha kazi cha sasa nani atasimamia hizo biashara zake.Cha msingi kwa kuwa ameshakuwa na uzoefu na kazi ya ualimu na ana njia nyingine ya kumuongezea kipato abakie huko huko,na suala la uzoefu liwe utetezi wake.
 
Katika barua yake kuna kipengele, awe tayari kufanya kazi yoyote atakayopangiwa na muajiri
 
Bora andike barua asingizie ana ugonjwa wowote ambao utamfanya asipew hiko cheo mfano matatizo ya macho au kupoteza kumbu kumbu ila awe na chet na record ya ugonjwa
Kama ana tatizo la kupoteza kumbukumbu ina maana anafundishaje? Si anatakiwa astaafishwe kwa manufaa ya umma! Hahaha! Nakosoa tu!

Yaani hapo sijui atakwepaje kwa usalama bila kukwazana na mwajiri wake?
 
Kama ana tatizo la kupoteza kumbukumbu ina maana anafundishaje? Si anatakiwa astaafishwe kwa manufaa ya umma! Hahaha! Nakosoa tu!

Yaani hapo sijui atakwepaje kwa usalama bila kukwazana na mwajiri wake?
Huwa wanapewa ungalizi wa miez sita kwanza kabla ya kustafishwa Kwa daraja lake ni dhahiri ana mda mchache san wa kuendelea kuwa kazin Ina maana atastafu akipigiwa hesabu ya daraja lake F la uwalimu ila akihamia halmashauri ataenda kuanza upya na hii itasababisha mshahara wake anze na daraja lingine
 
Huwa wanapewa ungalizi wa miez sita kwanza kabla ya kustafishwa Kwa daraja lake ni dhahiri ana mda mchache san wa kuendelea kuwa kazin Ina maana atastafu akipigiwa hesabu ya daraja lake F la uwalimu ila akihamia halmashauri ataenda kuanza upya na hii itasababisha mshahara wake anze na daraja lingine
Ok, sawa!
 
aalisha pata option akilazimishwa anapiga ajira chini
 
Kuna jamaa yangu ni mtumishi wa serikali kajiriwa kama mwalimu na kituo chake cha kazi ni halmashauri x na shule x , ana degree ya uhasibu na postgraduate diploma ya ualimu, hivyo kigezo alichoingilia kazini na kumpa ajira ni postgraduade diploma na sasa yupo daraja E anaenda daraja F.

Kilichofanya niombe ushauri na kuliza ni mambo haya , leo kapigiwa simu na afisa utumishi kuwa anatakiwa apeleke halmshauri vyeti vyake vya account ili apelekwe idara ya fadha ya halmashauri yake , yeye hayupo tayari kufanya kazi halmshauri.

Sasa kaniiuliza haya mambo 1. je anaweza kataa uteuzi na sababu anatakiwa atoe zipi 2. zipi hasara anaweza zipata kwa kukataa uteuzi , sababu za yeye kukataa uteuzi ni kuwa biashara zake zimesimama so anaona kwenda halmshauri ni kupoteza muda na atabanwa na ratiba za kazi ambazo zinaweza athiri biashara zake
Kumbe kuna waalimu wa wito na wamaslahi. Fikiri mtu ana shahada ya uhasibu kaenda tena kuunguza pesa na muda kutafuta ualimu alafu wanachwa wanapangwa waliojaza ualimu kwa kuona bora liende. Kigezo cha wito ni pamoja na hilo.

Litizamwe.
 
Back
Top Bottom