Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora ukae kwenye kiti Cha kuzunguka huku unafanya kile unapaswa kufanya wanakula Kodi za kunyapia walalahoi ujueSasa viti vya kuzunguka vina shida gani? Mzee ulitaka watu wakalie vigoda ofisini.
Hili nalo lawezekanaMaelekezo ndani ya maelekezo.Niliwahi kuisikia iyo mkuu kitambo. Waraka unaweza kuuona Na kuusoma vizuri lakini ukifika kwa ma-HRO's unasindikizwa Na maelekezo ya SIRI
Nimuite hapa Liverpool VPN ashangae ...Mchengerwa hajaonesha makucha bado mpaka mtu atolewe mfano
Hawa ni walimu wale wanaofanya CCM kila siku itutawale...Nimuite hapa Liverpool VPN ashangae ...
Am so neutral man ..ila hii nchi ina mifumo kandanimizi sana ... Hatutakiwi kuwa na viongozi bora Bali taasisi bora ..ndio shida tulio nayo .... Hata kama una haki ukifatilia wanakupotezea mpaka upate mkuu wa idara mwenye hofu ya Mungu.. Nashukuru nimepanda kwa wakati kila wakati ulipofika .... Kada ambazo mshahara yake inatoka vifungu vya utawala kupanda ni shida wapi wengi mnooo.. Akikosena afisa utumishi mwemye busara ... Ni shida sana ...Hawa ni walimu wale wanaofanya CCM kila siku itutawale...
Sisi wengine maisha ni poa kabisaa.
Ngoja wao wakomae na waliowaibia kura ili wasitoke madarakani.
#YNWA
Tatizo halikua kwa HR, tatizo lilikua kwa MAGU A.K.A Jambazi wa haki za watumishi.Am so neutral man ..ila hii nchi ina mifumo kandanimizi sana ... Hatutakiwi kuwa na viongozi bora Bali taasisi bora ..ndio shida tulio nayo .... Hata kama una haki ukifatilia wanakupotezea mpaka upate mkuu wa idara mwenye hofu ya Mungu.. Nashukuru nimepanda kwa wakati kila wakati ulipofika .... Kada ambazo mshahara yake inatoka vifungu vya utawala kupanda ni shida wapi wengi mnooo.. Akikosena afisa utumishi mwemye busara ... Ni shida sana ...
Mkuu acha utani....hawa jamaa, maafisa utumishi hasa wa Manispaa na Majiji huwa ni Miungu watu, untouchables! Huwa kuna mhimili unawalinda, ndio maana wengi huteuliwa ngazi za juu zaidi nankuwa wakuu mnapanda a wilaya, RAS, nkTarehe ya leo ilikuwa tarehe ya mwisho kuingizwa kwenye mfumo.
Baada ya muda kufika,wale Maafisa Utumishi watakaoshindwa kukamilisha kuwaingiza watumishi wa Halmashauri zao,ifikapo Jumatatu tarehe 14/6 wawe wamesimamishwa kazi na Wakurugenzi wao.
Tunaishi nao tunaona wanavyojimwambafaiMoja ya kazi ambazo zinatakiwa kufanywa kwa weledi na kuheshimu sheria,kanuni na miongozo ni uafisa utumishi.
Hapo ndio chanzo cha kuwaona wanajidai na miungu watu ila kimsingi ukifuatilia ni majungu na kutokuelewa kwa kanuni kwa watumishi walio wengi.
Kwanini iwe hivi na wenyewe Ni watumishi wa serikali?? Sio haki asee Kama utawala hautakiwi Bora serikali iajiri walimu na watu wa afya pekeeAm so neutral man ..ila hii nchi ina mifumo kandanimizi sana ... Hatutakiwi kuwa na viongozi bora Bali taasisi bora ..ndio shida tulio nayo .... Hata kama una haki ukifatilia wanakupotezea mpaka upate mkuu wa idara mwenye hofu ya Mungu.. Nashukuru nimepanda kwa wakati kila wakati ulipofika .... Kada ambazo mshahara yake inatoka vifungu vya utawala kupanda ni shida wapi wengi mnooo.. Akikosena afisa utumishi mwemye busara ... Ni shida sana ...
Yupo sahihiSINGIDA DC pia mkuu watendaji kata na watendaji wa vijiji hawajapandishwa madaraja na Afisa utumishi anajibu nyodo ANASEMA ye hadili na watendaji wa vijiji na wa kata kwani muundo wao wa utumishi Ni tofauti na watumishi wengine nchini