Maafisa wa kutuliza ghasia waanza kuwashughulikia wanafunzi wanaoandamana kuwatetea Hamas, vyuo navyo vyaanza kuwatimua

Hao wanafaa kuchapwa sana kwa kuunga mkono magaidi.
Tofauti ya kwenda shule kukariri na kuelimika inaoneka kwenye mgogoro huu wakati wakristo wengi wa tanzania wakiiunga mkono israel kisa tu wamekarisrishwa ni taifa teule na upuuzi kama huo, na kuita hamas magaidi
Wakristo wa narekani , ulaya na nchi zilizoendelea kama southafrica huwa wanatumia akili na kuangalia tatizo kwa jicho pana mfano hawa wanafunzi wa vyuo marekani ,ambayo nchi yao ndio ililitunga hilo neno gaidi na kuliwekea sheria duniani, ila ajabu kondoo wa mwamposa ndio anajifanya anajua nani gaidi
Shule shule shule
 
Hao hawapo Israel ni Wapalestina wanaoitetea Hamas huko nje walikopewa hifadhi.
Hiyo lugha ni Norway au Denmark hapo.
Angalia huyu mlolole hahaha wakimbizi na wageni hawaruhusiwi kuandamana endelea kuwadanganya mapunguani wenzako.
 
BREAKING:

🇮🇱 International ARREST warrants from Hague already this week against Netanyahu, Gallant and Levi - Israeli m12

As revealed in the publication: Israel estimates that the International Criminal Court in The Hague (ICC) will this week issue international arrest warrants against top political and security officials.

This is likely to be realized during the coming week, when international arrest warrants will be filed against Prime Minister Benjamin Netanyahu, Defense Minister Yoav Galant and Chief of Staff Herzi Halevi - in.

The expected warrants will be given against the background of the genocide in the Gaza Strip, in addition to statements by various countries Regarding Israel's violation of international law where Israel committed an unseen genocide since the Second World War, in which it massacred over 37,000 civilians of which over 13,000 children under 16 years old.

Professionals and lawyers who were present at the limited emergency hearing tried to block the decision through some last-minute urgent actions in front of Bin Din himself and in front of influential political parties - but these efforts apparently did not bear fruit.

This is probably with the green light from the west because someone has to bear responsibility for the genocide that the west, despite its efforts, failed to defend.

The whole show will be ruined by either the acquittal of these war criminals or some lenient sentences.

t.me/megatron_ron
 


BADO HAMJASEMA. THAT WAS JUST A TRAILER. JAMAA WANASEMA BADO SANA
 
Ukiwa mjinga namna hiyo unaweza kumuona mzungu kama mungu, ndio maana hata yesu mlimuita mungu wakati ni binaadamu kama wewe na anakosea na ana hisia kama wewe.
Israel wakati anaanzisha vita hii hakutegemea resistance ya dunia kisi hiki
Hakutegemea kama leo marekani na duniani israel ingekosa huruma na kuonekana kama muhalifu
Hakutegemea na haijawahi kutokea israel angefikiria kama kuna siku marekani ingfikiria kuwawekea vikwazo
Israel hajawahi kufikiria kama kuna siku atapelekwa icc na kuwa issued arrest warrant
Tension na kutoelewana kati ya viongozi wa marekani na israel haijawahi kuwa kubwa namna hii
Nenda kasikilize interview ya the famous ex israel pm ehud barak ameeleza kila kitu kuwa hawa netanyahu na right wing wenzake ndio wameifikisha israel hapa na kuwafananisha na proud boys wa marekani, soma utawajua tabia zao, na sasa jews wote duniani na taifa la israel lipo kwenye risk kwa ajili yao, na akasisitiza netanyahu got everything wrong kwenye hii vita aresign for the interest ya israel
Juzi mkuu wa usalama wa israel karesign unajua kwa nini? Nendeni shule mkaelimike siyo kukariri hadi mnashindwa kufikiria
 
wanaoandamana Israel hawafikii hata asilimia 0.1 ya waisrael, ni kundi dogo sana, Hata vita ya Uganda kuna watanzania wapo wenye akili kama zako waliipinga
Naomba hili lipigiwe mstari kabisa●

Mpaka leo hii wanadai yule mshenzi Idd Amin Dada yao alikuwa eti mtu wa maana sana! Sisi tulikosea sana kumpiga!

Ng'ombe tasa hawa!
 
Kwaiyo huko hakuna uhuru wa kujieleza ambao wanaoupigania?
 
Uharo mtu bora hata usingeandika😀
mkuu ukweli kabisa tukiacha ushabiki pembeni marekani na israel lao ni moja. Ile kesi ya SA Nilisema yalikuwa ni maigizo na imethibitisha kwamba vyombo vyote vikubwa duniani vipo chini ya USA. Hakuna kitu marekani atafanya kuzuia hii vita tulishawazoea hao makafiri wamejaa urongo mwingi.
Hapo ni palestine kuendelea kupambania haki yao wasije wakategemea israel atawekewa vikwazo na marekani au kuwajibishwa. Kuwajibishwa kwa israel ni marekani kuanguka pale halipo mbali na hapo ni ndoto tu
 
Ungesema atleast hao wanafunz wapo Taifa gan na ni raia wawap
 
Hamas yote hayo wanayajua na wanajua wanapigana na Ulaya na Marekani kumbuka Hamas siyo PLO wasiilize viaongozi wao misimamo yao tofauti Mahamod Abbas, haya mauaji ndiyo ukumbozi wa Palestina dunia leo imekua Mazayuni walivyo wengi walikuwa hawafahamu kama Palestina walikuwa wanaishi kwenye gereza la wazi, tunafahamu vyombo vyote vipo chuni ya Marekani dunia inaraka kujua Makahama ya kimataifa watatoa hukumu gani, leo hii ndani ya Marekani kuna maamdamano na raia wanapigwa hii pia imeondoka hali tulikuwa tumekalilishwa kuwa Marekani kuna democrasia.
 

Attachments

  • IMG_3658.jpeg
    673.1 KB · Views: 2
Hamna mauji ya kimbari. Ile ni vita dhidi ya ugaidi
 
Putin ana arrest warrant from The Hague ila bado anadunda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…