Maajab! Malaika aina ya makeherubi adondoka toka mbinguni!

Hamna kitu kama hicho malaika mzee hvyo hahahhaha
 
Umewahi waona wapi mkuu hadi ukaseme wazuri
 
Vipi mwenzake maserafi?
 
Malaika gani mzee hivyo?[emoji23] [emoji23]

Sio series ya wrong turn hii?
Hizi Habari ni zakipuuzi na sisi tulivyokuwa mazuzu tunaamini. Huko kwa Mungu kuna mafundi cherehani? Huu ni mdoli wataalamu wametengeneza ili kuuhadaa. Malaika wa Mungu awe hivyo na aanguke??????????
 
Malaika wote wapo uchi kwa sababu hawana dhambi, huyo mbona kavaa nguo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…