Maajabu 7 yanayopatikana mkoani kwako

Hiyo 4. futa kabisa usiseme japo, ni kwamba serengeti inasoma Mara region, that why mkoa wa mara mnaubemenda kwa issue as you wrote.
 
Kumbe wamasai nao ni maajabu[emoji2297][emoji2297]
 
Hata wasukuma wanashikilia.
Wakija Dar wanasahau....mie hata niwe kwa daladala nina shuka zangu...

Watoto natairi kimasai...wasukuma wamechanganyana na Wazaramo mijini hata huwatofautishi.
 
Wakija Dar wanasahau....mie hata niwe kwa daladala nina shuka zangu...

Watoto natairi kimasai...wasukuma wamechanganyana na Wazaramo mijini hata huwatofautishi.
Hata wamasai wamechanganyikana siku hizi wanapigwa ganzi hospitali, na suti wanavaa.
 
Hata wamasai wamechanganyikana siku hizi wanapigwa ganzi hospitali, na suti wanavaa.
Naona upo deep kwenye hii mada...umejitwalia mmasai wako wa mjini nini au msukuma!
 
KWA HAPA DOM;
1. LODGE ZA BEI CHEE
2. MBUSUSU CHEAP ZA WANA CHUO
3.MADANGURO
Nitarudi mida
 
Mbeya inanuka Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…