Maajabu 8 ya mkoa wa Mara

Umesahau kuwa ndio kabila wanaopenda kujiunga jeshi kuliko kabila lolote TZ,wengine tunaendea njaa wao mapenzi ya siraha.kumwaga mwaga damu mura.
 
Ajabu la Kwanzaa ni watu wanaojua kupenda wanawake, wakikupenda unaenjoy Sana, watu toka Mkoa wa Mara ni wanaume pekeee hapa duniani wanaojua kupenda
Hapa mbona kama unawasingizia[emoji23][emoji23]
 
Mama Bhoke karete panga Huoni Vita vimeshaanza hapo malaya kashapigwa chupa ya Kichwa kisa kala bia na hataki kuondoka na jamaa tena mbele ya waifu.Kuna watu majeuri sana huko Ila bila panga waoga mnoo.
 
hawa hupenda sana jeshi.

Ile vita ya kagera walitakiwa vijana elf 2 kila mkoa waende jeshini lakini kule mara nafasi ziligombaniwa sana hadi ikabidi waongeze ziwe elfu nne, Wakati mkoa huu nafasi zikiwa zinagombaniwa kuna mikoa mingine watu waliogopa kwenda jeshini na kilichofanyika vijana wa mara walienda kwenye hio mikoa ambayo nafasi zilikuwepa na wakazijaza tele.

Baada ya vita watu waliporudi vijijini bunduki za vitani walirudi nazo.

Nakumbuka mwaka 2008 hivi ile vita ya ya kuobiana ngombe mapolisi walishindwa kabisa maana wakienda na smg wanakutana na wajumbe wana mashine nzito, ikabidi tu waende makomandoo wenzao, Achana kabisa na kina muraa.

Pia ndio mkoa uliotaka kufanya mapinduzi ili kuhitegemea wawe na nchi yao binafsi, rejea vita ya chui, kuna mtu aliweka huu uzi humu jamii forums.

Huko mara vituo vya polisi vinavamiwaga huwa nabaki kushangaa tu

Watani wao ni wahaya japo sijajua ilikuwaje maana kuna ziwa linawatenganisha ila yote kwa yote wakurya wapo vizuri vitani muhaya yupo fiti darasani ila wanaelewana sana yani
 
Wahaya ni watani wa waluo ila Wakurya watani wao ni Wanyiramba wa Singida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…