Maajabu: Aliyehubiri Injili aswekwa jela, anayewapachika chupa watu makalioni aachiwa huru

wanapenda kujihesabia haki sana hawa ila hawataki kuwajibika
 
Huu uzi ungesubiri kupambazuke lakini unapost usiku huu wa saa saba kama mchawi!
Huu ujinga wa kudhani kila mahali duniani muda huo ni usiku sijui utauacha lini?

Pia usidhani kila mwanajf anaishi Tanzania ambako nchi nzima kama ni usiku ni usiku , kama mchana ni mchana.

Wewe sahizi eneo ulipo kama ni asubuhi basi kuna maeneo mengine ya dunia ni mchana, jioni ama usiku.
 
kumbe chadema mnao ushahidi ? pelekeni polisi maana maneno hata kwenye kanga yapo ,
Hapa ameongea kwa niaba ya chama ama ametoa maoni yake binafsi?

Wapi kajitambulisha kama mwanachadema mkuu?

Rais alimtengua unaibu waziri wewe unasema ni maneno tu kama ya kwenye kanga?

Rais ana vyanzo vingi vya kupata taarifa sahihi sio kama wewe hata jirani yako hawezi kukupa taarifa hata ya msiba tu.
 
Vipi kuhusu Rais kumtengua kutokana na kashfa hiyo?

Na Rais pia anauonea wivu mtu aliyemteua mwenyewe?
 
Umejibu
Umejibu dk 5 zilizopita post ya 25 uko nchi gani kama sio maswa muda huu ndio unamka wacha kujiongelesha!
 
Huyu waziri mccm nilishangaa sana eti anataka kuvuka boda akimbie kwa kakesi kadogo hako Hali kina sabaya makondakta wametulia,waziri wa sheria unaogopa Sheria,atulie asubirie teuzi yake hakuna kesi hapo.
Hii imeenda
 
Mchungaji mmoja huko Mbeya amefungwa jela kwa kuhubiri Injili , lakini kuna mwanaccm mmoja huko Manyara ameachiwa huru pamoja na ushahidi mwanana wa kuwapachika watu chupa makalioni

View attachment 2857896

Toa maoni yako
huyo hajapelekwa jela, amepelekwa shule, Mungu anamfundisha kwa kukimbia wito, Mungu alimuita kuwa mwimbaji wa injili, na kwa kupitia uimbaji ameleta wengi kwa Yesu na kufariji wengi, lakini yeye amekimbilia kwenye uchungaji ambao hawezi kitu kabisa na aliamini kwenye uchungaji ndiko kwenye mpunga na ndiko atafikia watu wengi zaidi. atatoka muda si mrefu, ila akitoka mshauri kitu kimoja, mwambie aachane na uchungaji, atunge nyimbo nyingi za kuabudu kwasababu tumezimiss na atapata pesa pia nyingi kwa nyimbo za aina hiyo. hawezi kuwa mchungaji kwasababu hatakuja kupata kibali, kwani aligoma kusoma kuwa mchungaji ambacho ni kigezo namba moja, na akijifanya jeuri atarudi tena jela na akishitakiwa sasahivi atafungwa miaka mingi zaidi kwasababu ana previous conviction. mshauri sana, utakuwa umemsaidia.

muda si mrefu atagraduate kwenye shule, Mungu amekuwa akimuambia mara nyingi anashupaza shingo, amerushwa huko kama vile Yona alivyorushwa kwenye tumbo la samaki, akitoka afuate wito wake aachane na kile Mungu hajamuitia.
 
Mchungaji mmoja huko Mbeya amefungwa jela kwa kuhubiri Injili , lakini kuna mwanaccm mmoja huko Manyara ameachiwa huru pamoja na ushahidi mwanana wa kuwapachika watu chupa makalioni

View attachment 2857896

Toa maoni yako
Nasikia ni chupa ya kinywaji cha kutokea arabuni labda hiyo ndiyo sababu ...maana waisiharamu wa africa ngozi nyeusi walishidiwa na mudi boy kuwa peponi watakuwa wanawake wa kiarabu siyo ngozi nyeusi tena wakachekelea na kufurahi sana ....sasa baada ya kujulikana kuwa chupa iliyotumika ni ya kutoka arabuni..kwao imekuwa ni suna
 
Hahahaaaa nawe hukusubiri kukuche ukacomment usiku wa manane?πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜
Ilibidi tumsundikize kaachwa peke yake room full stress shemeji kaenda tafuta mchepuko akaamua kushusha uzi wa stress!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…