wanapenda kujihesabia haki sana hawa ila hawataki kuwajibikaSasa siukashitaki wewe kama wewe na utoe ushahidi juu ya huyo anayewekea watu chupa hata huko UN nenda kashitaki wewe sinimpigania haki za binadamu bwana.
Au beba mabango BBC wakuone kama kina Bob Wine huko Uganda siyo kujificha ndani ya jf.
Kama huwezi kuleta ushahidi basi huna haki ya kuzungumza chochote juu ya hilo.
Ina maana Manyara yooooote hawajaliona hilo na kutambua kuwa unachuki zenu za siasa kwa kuwa anayetuhumiwa aliondoka chadomo?
mnamuuliza maswali magumu sana πKesi ya huyo mchungaji ilikuwa ni kuhubiri injili? Unaweza onyesha sehemu DPP alipovunja sheria?
mchawi yupo kazini ndio muda wake πHuu uzi ungesubiri kupambazuke lakini unapost usiku huu wa saa saba kama mchawi!
Huu ujinga wa kudhani kila mahali duniani muda huo ni usiku sijui utauacha lini?Huu uzi ungesubiri kupambazuke lakini unapost usiku huu wa saa saba kama mchawi!
anae kubalika ni nani sasa πWatawala wengi ni waovu hasa ambao wanailazimisha kukubalika na huku hawakubaliki mfano ccm.
Hapa ameongea kwa niaba ya chama ama ametoa maoni yake binafsi?kumbe chadema mnao ushahidi ? pelekeni polisi maana maneno hata kwenye kanga yapo ,
Vipi kuhusu Rais kumtengua kutokana na kashfa hiyo?Sasa siukashitaki wewe kama wewe na utoe ushahidi juu ya huyo anayewekea watu chupa hata huko UN nenda kashitaki wewe sinimpigania haki za binadamu bwana.
Au beba mabango BBC wakuone kama kina Bob Wine huko Uganda siyo kujificha ndani ya jf.
Kama huwezi kuleta ushahidi basi huna haki ya kuzungumza chochote juu ya hilo.
Ina maana Manyara yooooote hawajaliona hilo na kutambua kuwa unachuki zenu za siasa kwa kuwa anayetuhumiwa aliondoka chadomo?
Huu ndio mkakati wa CHADEMA kutwaa Dola? PatheticMchungaji mmoja huko Mbeya amefungwa jela kwa kuhubiri Injili , lakini kuna mwanaccm mmoja huko Manyara ameachiwa huru pamoja na ushahidi mwanana wa kuwapachika watu chupa makalioni
View attachment 2857896
Toa maoni yako
UmejibuHuu ujinga wa kudhani kila mahali duniani muda huo ni usiku sijui utauacha lini?
Pia usidhani kila mwanajf anaishi Tanzania ambako nchi nzima kama ni usiku ni usiku , kama mchana ni mchana.
Wewe sahizi eneo ulipo kama ni asubuhi basi kuna maeneo mengine ya dunia ni mchana, jioni ama usiku.
Umejibu dk 5 zilizopita post ya 25 uko nchi gani kama sio maswa muda huu ndio unamka wacha kujiongelesha!Huu ujinga wa kudhani kila mahali duniani muda huo ni usiku sijui utauacha lini?
Pia usidhani kila mwanajf anaishi Tanzania ambako nchi nzima kama ni usiku ni usiku , kama mchana ni mchana.
Wewe sahizi eneo ulipo kama ni asubuhi basi kuna maeneo mengine ya dunia ni mchana, jioni ama usiku.
Tukupachike hiyo chupa then UchekeleeeUlipelek ushahidi kwa DPP au Uchadema unakusumbua.
Acheni kuchafua watu kwa chuki zenu za kisisasa
Hatari sana!mchawi yupo kazini ndio muda wake π
Wewe umejaribu kuipachika chupa matakoni ukaona inawezekana kuzama? Acheni siasa za Ki CHADEMATukupachike hiyo chupa then Uchekeleee
Hilo li dpdp lililofuta kesi life tu.Mchungaji mmoja huko Mbeya amefungwa jela kwa kuhubiri Injili , lakini kuna mwanaccm mmoja huko Manyara ameachiwa huru pamoja na ushahidi mwanana wa kuwapachika watu chupa makalioni
View attachment 2857896
Toa maoni yako
Inaumiza sanaKuhubiri injili bila kibali,huku wamemnyima kumpa kibali
Hahahaaaa nawe hukusubiri kukuche ukacomment usiku wa manane?ππππHuu uzi ungesubiri kupambazuke lakini unapost usiku huu wa saa saba kama mchawi!
huyo hajapelekwa jela, amepelekwa shule, Mungu anamfundisha kwa kukimbia wito, Mungu alimuita kuwa mwimbaji wa injili, na kwa kupitia uimbaji ameleta wengi kwa Yesu na kufariji wengi, lakini yeye amekimbilia kwenye uchungaji ambao hawezi kitu kabisa na aliamini kwenye uchungaji ndiko kwenye mpunga na ndiko atafikia watu wengi zaidi. atatoka muda si mrefu, ila akitoka mshauri kitu kimoja, mwambie aachane na uchungaji, atunge nyimbo nyingi za kuabudu kwasababu tumezimiss na atapata pesa pia nyingi kwa nyimbo za aina hiyo. hawezi kuwa mchungaji kwasababu hatakuja kupata kibali, kwani aligoma kusoma kuwa mchungaji ambacho ni kigezo namba moja, na akijifanya jeuri atarudi tena jela na akishitakiwa sasahivi atafungwa miaka mingi zaidi kwasababu ana previous conviction. mshauri sana, utakuwa umemsaidia.Mchungaji mmoja huko Mbeya amefungwa jela kwa kuhubiri Injili , lakini kuna mwanaccm mmoja huko Manyara ameachiwa huru pamoja na ushahidi mwanana wa kuwapachika watu chupa makalioni
View attachment 2857896
Toa maoni yako
Nasikia ni chupa ya kinywaji cha kutokea arabuni labda hiyo ndiyo sababu ...maana waisiharamu wa africa ngozi nyeusi walishidiwa na mudi boy kuwa peponi watakuwa wanawake wa kiarabu siyo ngozi nyeusi tena wakachekelea na kufurahi sana ....sasa baada ya kujulikana kuwa chupa iliyotumika ni ya kutoka arabuni..kwao imekuwa ni sunaMchungaji mmoja huko Mbeya amefungwa jela kwa kuhubiri Injili , lakini kuna mwanaccm mmoja huko Manyara ameachiwa huru pamoja na ushahidi mwanana wa kuwapachika watu chupa makalioni
View attachment 2857896
Toa maoni yako
Ilibidi tumsundikize kaachwa peke yake room full stress shemeji kaenda tafuta mchepuko akaamua kushusha uzi wa stress!Hahahaaaa nawe hukusubiri kukuche ukacomment usiku wa manane?ππππ