Maajabu! Aliyekopa kidogo kwa miaka 6 maendeleo yanaonekana, Ila aliyekopa Trilion 35 kwa miaka minne hakuna project ya maana inayoonekana!

Maajabu! Aliyekopa kidogo kwa miaka 6 maendeleo yanaonekana, Ila aliyekopa Trilion 35 kwa miaka minne hakuna project ya maana inayoonekana!

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi wa SGR, mradi wa airport terminal III, barabara, Magufuli bus terminal, nk. Huku yote hayo yakionekana kuongeza deni la taifa kwa kiwango kidogo.

Tangu awamu ya sita iingie, zimeshakopwa zaidi ya Trillion 34! Hii ni fedha tosha ya kutandika miradi mingine mikubwa sana ya kimaendeleo hususan kwa nchi inayoendelea. Ila cha kushangaza na katika hali isiyo ya kawaida hakuna mradi wowote wa maana unaoendelea! Hakuna miradi mikubwa ya ujenzi na uchukuzi, hakuna miradi ya maji, hakuna miradi hata ya ujenzi wa barabara za msingi!

INASIKITISHA SANA
 
Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi wa SGR, mradi wa airport terminal III, barabara, Magufuli bus terminal, nk. Huku yote hayo yakionekana kuongeza deni la taifa kwa kiwango kidogo.

Tangu awamu ya sita iingie, zimeshakopwa zaidi ya Trillion 34! Hii ni fedha tosha ya kutandika miradi mingine mikubwa sana ya kimaendeleo hususan kwa nchi inayoendelea. Ila cha kushangaza na katika hali isiyo ya kawaida hakuna mradi wowote wa maana unaoendelea! Hakuna miradi mikubwa ya ujenzi na uchukuzi, hakuna miradi ya maji, hakuna miradi hata ya ujenzi wa barabara za msingi!

INASIKITISHA SANA
Sasa unashanga nini? CCM NI MCHWA HAWASHIBI NI KUIBA TU
 
Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi wa SGR, mradi wa airport terminal III, barabara, Magufuli bus terminal, nk. Huku yote hayo yakionekana kuongeza deni la taifa kwa kiwango kidogo.

Tangu awamu ya sita iingie, zimeshakopwa zaidi ya Trillion 34! Hii ni fedha tosha ya kutandika miradi mingine mikubwa sana ya kimaendeleo hususan kwa nchi inayoendelea. Ila cha kushangaza na katika hali isiyo ya kawaida hakuna mradi wowote wa maana unaoendelea! Hakuna miradi mikubwa ya ujenzi na uchukuzi, hakuna miradi ya maji, hakuna miradi hata ya ujenzi wa barabara za msingi!

INASIKITISHA SANA
 

Attachments

  • VID-20250129-WA0039.mp4
    7.4 MB
  • VID-20250128-WA0033.mp4
    3.9 MB
Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi wa SGR, mradi wa airport terminal III, barabara, Magufuli bus terminal, nk. Huku yote hayo yakionekana kuongeza deni la taifa kwa kiwango kidogo.

Tangu awamu ya sita iingie, zimeshakopwa zaidi ya Trillion 34! Hii ni fedha tosha ya kutandika miradi mingine mikubwa sana ya kimaendeleo hususan kwa nchi inayoendelea. Ila cha kushangaza na katika hali isiyo ya kawaida hakuna mradi wowote wa maana unaoendelea! Hakuna miradi mikubwa ya ujenzi na uchukuzi, hakuna miradi ya maji, hakuna miradi hata ya ujenzi wa barabara za msingi!

INASIKITISHA SANA
Hivi wewe hujasheherekea birthday ya mama.. nakupa ubwete mweeee embu tuache mitano tena
 
Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi wa SGR, mradi wa airport terminal III, barabara, Magufuli bus terminal, nk. Huku yote hayo yakionekana kuongeza deni la taifa kwa kiwango kidogo.

Tangu awamu ya sita iingie, zimeshakopwa zaidi ya Trillion 34! Hii ni fedha tosha ya kutandika miradi mingine mikubwa sana ya kimaendeleo hususan kwa nchi inayoendelea. Ila cha kushangaza na katika hali isiyo ya kawaida hakuna mradi wowote wa maana unaoendelea! Hakuna miradi mikubwa ya ujenzi na uchukuzi, hakuna miradi ya maji, hakuna miradi hata ya ujenzi wa barabara za msingi!

INASIKITISHA SANA
Ninavyoamini ni kuwa hata kama ukiwa na mwili kama nyumba au hata japo kwa udogo wa tembo,ikitokea kuwa ni mfuga chawa mwili utaporomoka hata pungufu ya mwili wa nyau na ukicheza chawa atakuwa na nafuu ama kiroboto.
 
Mitano tena ,mama anajenga nchi na kufungua fursa za kitaifa na kimataifa.34t kwa serikali ni pesa ya nyanya tu.Alisikika chawa wa S100
 
Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi wa SGR, mradi wa airport terminal III, barabara, Magufuli bus terminal, nk. Huku yote hayo yakionekana kuongeza deni la taifa kwa kiwango kidogo.

Tangu awamu ya sita iingie, zimeshakopwa zaidi ya Trillion 34! Hii ni fedha tosha ya kutandika miradi mingine mikubwa sana ya kimaendeleo hususan kwa nchi inayoendelea. Ila cha kushangaza na katika hali isiyo ya kawaida hakuna mradi wowote wa maana unaoendelea! Hakuna miradi mikubwa ya ujenzi na uchukuzi, hakuna miradi ya maji, hakuna miradi hata ya ujenzi wa barabara za msingi!

INASIKITISHA SANA
Wanaofaidi hiyo mikopo ndio hao waliompitisha ili waendelee kufaidi uwepo wake! Tume huru ni muhim ili october tumrudishe akalee wajukuu huko Kizimkazi
 
Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi wa SGR, mradi wa airport terminal III, barabara, Magufuli bus terminal, nk. Huku yote hayo yakionekana kuongeza deni la taifa kwa kiwango kidogo.

Tangu awamu ya sita iingie, zimeshakopwa zaidi ya Trillion 34! Hii ni fedha tosha ya kutandika miradi mingine mikubwa sana ya kimaendeleo hususan kwa nchi inayoendelea. Ila cha kushangaza na katika hali isiyo ya kawaida hakuna mradi wowote wa maana unaoendelea! Hakuna miradi mikubwa ya ujenzi na uchukuzi, hakuna miradi ya maji, hakuna miradi hata ya ujenzi wa barabara za msingi!

INASIKITISHA SANA
Uzi wa kipuuzi sana huu na Watanzania mlivyo na Allergy za data hakuna data hata moja ku support uzi wako.

1. Jiwe hakukopa kidogo, inshort alikopa sana kushinda maraisi wote waliomtangulia. Wakati wake amekopa zaidi ya 10B usd ambazo ni hela za madafu kama Trillion 30

Source


2. Ukuaji wa Uchumi unapimwa kwa GDP na sio miradi, unaweza jenga miradi hewa kwa maelfu haimaanishi chochote kama GDP inadumaa, Jiwe aliua uchumi na kuuacha hoi ICU, ndani ya miaka mitatu tu toka 2021-2023 GDP imekua kwa $13B ambazo ni zaidi ya Trilioni 30, hatuna data za 2024 ila definetely ongezeko la uchumi ni kubwa kuliko Tulichokopa.
 
Ndiyo maana akina Trump wanatudharau..
sasa hivi dawa za ukimwi zitageuka kipusa..huna hela ya kuhonga uzipate unadanja.
 
Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi wa SGR, mradi wa airport terminal III, barabara, Magufuli bus terminal, nk. Huku yote hayo yakionekana kuongeza deni la taifa kwa kiwango kidogo.

Tangu awamu ya sita iingie, zimeshakopwa zaidi ya Trillion 34! Hii ni fedha tosha ya kutandika miradi mingine mikubwa sana ya kimaendeleo hususan kwa nchi inayoendelea. Ila cha kushangaza na katika hali isiyo ya kawaida hakuna mradi wowote wa maana unaoendelea! Hakuna miradi mikubwa ya ujenzi na uchukuzi, hakuna miradi ya maji, hakuna miradi hata ya ujenzi wa barabara za msingi!

INASIKITISHA SANA
Pesa imejenga miradi ya Magufuli
 
Back
Top Bottom