Uzi wa kipuuzi sana huu na Watanzania mlivyo na Allergy za data hakuna data hata moja ku support uzi wako.
1. Jiwe hakukopa kidogo, inshort alikopa sana kushinda maraisi wote waliomtangulia. Wakati wake amekopa zaidi ya 10B usd ambazo ni hela za madafu kama Trillion 30
Total external debt is debt owed to nonresidents repayable in currency, goods, or services. Total external debt is the sum of public, publicly guaranteed, and private nonguaranteed long-term debt, use of IMF credit, and short-term debt. Short-term debt includes all debt having an original...
www.macrotrends.net
2. Ukuaji wa Uchumi unapimwa kwa GDP na sio miradi, unaweza jenga miradi hewa kwa maelfu haimaanishi chochote kama GDP inadumaa, Jiwe aliua uchumi na kuuacha hoi ICU, ndani ya miaka mitatu tu toka 2021-2023 GDP imekua kwa $13B ambazo ni zaidi ya Trilioni 30, hatuna data za 2024 ila definetely ongezeko la uchumi ni kubwa kuliko Tulichokopa.
Uzi wa kipuuzi sana huu na Watanzania mlivyo na Allergy za data hakuna data hata moja ku support uzi wako.
1. Jiwe hakukopa kidogo, inshort alikopa sana kushinda maraisi wote waliomtangulia. Wakati wake amekopa zaidi ya 10B usd ambazo ni hela za madafu kama Trillion 30
Total external debt is debt owed to nonresidents repayable in currency, goods, or services. Total external debt is the sum of public, publicly guaranteed, and private nonguaranteed long-term debt, use of IMF credit, and short-term debt. Short-term debt includes all debt having an original...
www.macrotrends.net
2. Ukuaji wa Uchumi unapimwa kwa GDP na sio miradi, unaweza jenga miradi hewa kwa maelfu haimaanishi chochote kama GDP inadumaa, Jiwe aliua uchumi na kuuacha hoi ICU, ndani ya miaka mitatu tu toka 2021-2023 GDP imekua kwa $13B ambazo ni zaidi ya Trilioni 30, hatuna data za 2024 ila definetely ongezeko la uchumi ni kubwa kuliko Tulichokopa.
Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi wa SGR, mradi wa airport terminal III, barabara, Magufuli bus terminal, nk. Huku yote hayo yakionekana kuongeza deni la taifa kwa kiwango kidogo.
Tangu awamu ya sita iingie, zimeshakopwa zaidi ya Trillion 34! Hii ni fedha tosha ya kutandika miradi mingine mikubwa sana ya kimaendeleo hususan kwa nchi inayoendelea. Ila cha kushangaza na katika hali isiyo ya kawaida hakuna mradi wowote wa maana unaoendelea! Hakuna miradi mikubwa ya ujenzi na uchukuzi, hakuna miradi ya maji, hakuna miradi hata ya ujenzi wa barabara za msingi!
Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi wa SGR, mradi wa airport terminal III, barabara, Magufuli bus terminal, nk. Huku yote hayo yakionekana kuongeza deni la taifa kwa kiwango kidogo.
Tangu awamu ya sita iingie, zimeshakopwa zaidi ya Trillion 34! Hii ni fedha tosha ya kutandika miradi mingine mikubwa sana ya kimaendeleo hususan kwa nchi inayoendelea. Ila cha kushangaza na katika hali isiyo ya kawaida hakuna mradi wowote wa maana unaoendelea! Hakuna miradi mikubwa ya ujenzi na uchukuzi, hakuna miradi ya maji, hakuna miradi hata ya ujenzi wa barabara za msingi!
Hakika ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni! Wakati wa awamu ya tano, nchi ilikuwa busy mno huku miradi ya maendeleo ikirindima kila pembe ya nchi, Kuanzia mradi mkubwa wa bwawa la Nyerere, Mradi wa SGR, mradi wa airport terminal III, barabara, Magufuli bus terminal, nk. Huku yote hayo yakionekana kuongeza deni la taifa kwa kiwango kidogo.
Tangu awamu ya sita iingie, zimeshakopwa zaidi ya Trillion 34! Hii ni fedha tosha ya kutandika miradi mingine mikubwa sana ya kimaendeleo hususan kwa nchi inayoendelea. Ila cha kushangaza na katika hali isiyo ya kawaida hakuna mradi wowote wa maana unaoendelea! Hakuna miradi mikubwa ya ujenzi na uchukuzi, hakuna miradi ya maji, hakuna miradi hata ya ujenzi wa barabara za msingi!
Unaandika kama vile huna ubongo kichwani!
Hiyo miradi wakati Magufuli anafariki ilikuwa kwenye asilimia ngapi na fedha za kumalizia hiyo miradi imetoka wapi?
Tumesafari sana sana na kulipana posho za kutosha ili tuifunguwe nchi! Ndege zimenunuliwa mpaka ya malkia ili asafari kwa Raha. Tumefanya ma shopping huko ili wasituone washamba. Tumerudisha masherehe yule mkuda aliokuwa anayakataa. Tumewasafirisha wasanii wetu nje ya nchi wajulikane! Tumepeleka wanyamapori wale big 5 unguja! Tumejijengea mabiashara ya kufa mtu sisi viongozi hata Abdul anakubali!
Hawa raia achana nawo, WADANGANYIKA hawana lolote kazi kulialia njaa tu! Nimewaambia wasaidizi wangu wawasambazie zile katilesi za unguja waache kelele za kulialia njaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.