Maajabu! Aliyekopa kidogo kwa miaka 6 maendeleo yanaonekana, Ila aliyekopa Trilion 35 kwa miaka minne hakuna project ya maana inayoonekana!

Una mafi kichwani
 
Nilichoona cha maana ni zile PR za birthday.
 
Wewe ni mpumbafu mkubwa

Huna akili
 
 

Attachments

  • v09044g40000c75kmmjc77u2st2mtmsg.mp4
    2.9 MB
Alishindwa haji kutoa Ajira akiwa na visingizio visivyo na msingi 🤣🤣

Mama ana show Kali 👇👇

View: https://x.com/swahilitimes/status/1887476226823954570?t=ab7G3i5jxRhr0J6CD0mtnQ&s=19
 
Unaandika kama vile huna ubongo kichwani!
Hiyo miradi wakati Magufuli anafariki ilikuwa kwenye asilimia ngapi na fedha za kumalizia hiyo miradi imetoka wapi?
 
Tumesafari sana sana na kulipana posho za kutosha ili tuifunguwe nchi! Ndege zimenunuliwa mpaka ya malkia ili asafari kwa Raha. Tumefanya ma shopping huko ili wasituone washamba. Tumerudisha masherehe yule mkuda aliokuwa anayakataa. Tumewasafirisha wasanii wetu nje ya nchi wajulikane! Tumepeleka wanyamapori wale big 5 unguja! Tumejijengea mabiashara ya kufa mtu sisi viongozi hata Abdul anakubali!
Hawa raia achana nawo, WADANGANYIKA hawana lolote kazi kulialia njaa tu! Nimewaambia wasaidizi wangu wawasambazie zile katilesi za unguja waache kelele za kulialia njaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…