Munabusule
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 976
- 491
Kwa kweli haya ni maajabu ya wasomi wa TAnzania eti ndiyo wana kumbuka shuka sasa baada ya Rasimu ya pili kutoka na tayari bunge la katiba liko kikaoni wao ndiyo wana kujadili Muundo wa serikali unaofaa kiuchumi:
kuna maswali mawili ya kujiuliza.
Kwanza;muda wote huu wasomi wetu walikuwa wapi??? Wakati warioba na tume wake walikuwa wakialika Watu washiriki???
Pili; hata kama wana mawazo mazuri inakuwaje wamezidiwa na Watu wa kawaida wasio wasomi wasiojua time management, wameweza kutumia muda wao kwa wao vizuri kuweza kutoa maoni?????? Ni Aibu kwa wasomi wetu
source:ITV
Eti wale nao ni wasomi.Sijui niwaite slow learners au attention seekers sipati jawabu.Walikua wapi siku zote hadi rasimu inatungwa?Halafu wanashambulia serikali 3 .Hao wameunganishwa na itikadi ya Posho na kuuza sura tu.
They're craving for undue attention. Ni wasomi mizigo tena
mimi nataka serikali moja tu sitaki 3 za chadema wala sitaki 2 za ccm....
Kwa kweli haya ni maajabu ya wasomi wa TAnzania eti ndiyo wana kumbuka shuka sasa baada ya Rasimu ya pili kutoka na tayari bunge la katiba liko kikaoni wao ndiyo wana kujadili Muundo wa serikali unaofaa kiuchumi:
kuna maswali mawili ya kujiuliza.
Kwanza;muda wote huu wasomi wetu walikuwa wapi??? Wakati warioba na tume wake walikuwa wakialika Watu washiriki???
Pili; hata kama wana mawazo mazuri inakuwaje wamezidiwa na Watu wa kawaida wasio wasomi wasiojua time management, wameweza kutumia muda wao kwa wao vizuri kuweza kutoa maoni?????? Ni Aibu kwa wasomi wetu
source:ITV
naunga mkono huja yako kwa asilimia 100 mara 1
kama tunataka kuungana serikari nyingi za nn?
Kama na hao ni wasomi basi taifa hili limejaa wagonjwa wa akili,
Hao wanafanya mchezo wa kiccm ili kuhadaa watanzania kuwa wasomi wamebaini mfumo wa serikali tatu utaathiri uchumi wa nchi hivyo ni bora tubaki na limfumo lao la serikali mbili ambalo ni mauzauza tu
Lakini CHADEMA huwa mnajinadi na Dr. wenu biblia kuwa ni msomi, je ni mgonjwa wa akili?
Kwa kweli haya ni maajabu ya wasomi wa TAnzania eti ndiyo wana kumbuka shuka sasa baada ya Rasimu ya pili kutoka na tayari bunge la katiba liko kikaoni wao ndiyo wana kujadili Muundo wa serikali unaofaa kiuchumi:
kuna maswali mawili ya kujiuliza.
Kwanza;muda wote huu wasomi wetu walikuwa wapi??? Wakati warioba na tume wake walikuwa wakialika Watu washiriki???
Pili; hata kama wana mawazo mazuri inakuwaje wamezidiwa na Watu wa kawaida wasio wasomi wasiojua time management, wameweza kutumia muda wao kwa wao vizuri kuweza kutoa maoni?????? Ni Aibu kwa wasomi wetu
source:ITV
Katiba ni mchakato, siyo suala la wananchi wamesema no, hayo ni mawazo mgando.
Umejitahidi kudandia kila post ya mchangiaji ili kukidhi haja zako
Una maana gani kusema mchakato?Kwa hiyo katika mchakato hakuna utaratibu?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Upo utaratibu,lakini hiyo haimaanishi kuwa watu wengine hawatakiwi kujadili.Una maana gani kusema mchakato?Kwa hiyo katika mchakato hakuna utaratibu?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Kwa kweli haya ni maajabu ya wasomi wa TAnzania eti ndiyo wana kumbuka shuka sasa baada ya Rasimu ya pili kutoka na tayari bunge la katiba liko kikaoni wao ndiyo wana kujadili Muundo wa serikali unaofaa kiuchumi:
kuna maswali mawili ya kujiuliza.
Kwanza;muda wote huu wasomi wetu walikuwa wapi??? Wakati warioba na tume wake walikuwa wakialika Watu washiriki???
Pili; hata kama wana mawazo mazuri inakuwaje wamezidiwa na Watu wa kawaida wasio wasomi wasiojua time management, wameweza kutumia muda wao kwa wao vizuri kuweza kutoa maoni?????? Ni Aibu kwa wasomi wetu
source:ITV
Upo utaratibu,lakini hiyo haimaanishi kuwa watu wengine hawatakiwi kujadili.
Mawazo yao yanaweza yawe/yasiwe na maana yeyote bali ni mawazo yao hata wangesema hayo mwaka 2059!
mimi ni mwana ccm. Lakini kwangu serikali moja ndiyo msimamo wangu.
I wonder why hawaiongelei hii...hata chama kimoja