Maajabu:baada ya Rasimu ya pili na bunge la katiba kuanzaWASOMI wajadili muundo wa serikali unaofaa

Maajabu:baada ya Rasimu ya pili na bunge la katiba kuanzaWASOMI wajadili muundo wa serikali unaofaa

Kuna haja sasa ya kuwa na serikali ya muungano ambayo imeimeza Zanzibar na kuwa na serikali ya Tanganyika iliyo huru. Mbona muungano hauzungumzwi. Miaka 50 ijayo iwe zamu yao
 
Kuna haja sasa ya kuwa na serikali ya muungano ambayo imeimeza Zanzibar na kuwa na serikali ya Tanganyika iliyo huru. Mbona muungano hauzungumzwi. Miaka 50 ijayo iwe zamu yao
Kama serikali tatu zitakataliwa basi kuna haja ya Tanzania Bara iitwe Tanzania Pwani halafu miaka 50 ijayo iwe zamu ya bara.

Mpwani amefutwa kabisa hatambuliki wala kutajwa!
 
Aibu ya kitaifa. Kwakweli mtoa mada nimekufagilia kwa kunyambua hili. Kama si kutumiwa na CCM basi watakuwa walitaka wateuliwe bunge la katiba wakatafune posho sasa inawauma hawakuteuliwa kwa hiyo wana uchungu. Aibu tupu. Maskini na Warioba aliwasihi sana mara tu baada ya rasimu ya kwanza kutoka kwamaba wamsaidie kung'amua mapungufu maana anawategemea kama watu wenye upeo. SHE.....N....ZI kabisa. Ngoja nipunguze munkari nisije nikawa blocked bure!



naunga mkono huja yako kwa asilimia 100 mara 1

kama tunataka kuungana serikari nyingi za nn?
 
Hata wasingekaa, katika hali ya sasa haiwezekani tuwe na serikali tatu, za nini? mbili zenyewe tabu, tatu tutaweza? Hivi mnategemea hoja za akina LEMA, MBOWE , SUGU n.k zitengeneze Katiba? mimi mwenyewe ningeshangaa wasomi wa nchi hii.
chezeeni huu utulivu uliopo ni haki mliyopewa na ibilisi! Ila mkumbuke kwamba hata mbuzi utambuluza wee, lakini akigoma na kulala chini lazima utambeba tu! Muda utasema!
 
wasomi wetu wameweka historia ambayo ni ya aibu.
 
Nyie ni watu wachache sana mtakunjwa kama karatasi na kutupwa jalalani.

wasomi gani wajinga namna ile, kweli huu muda wote mpaka inatoka rasimu ya 2 na sasa ni bunge la katiba? Wale wote ni wanaCCM Walioamua kujivika gamba la usomi, kumbe vivulii tu vimekuja kuwahadaa waTZ kwamba wao ni wasomi kumbe ni miccm, ku...dadake zao.
 
Hata wasingekaa, katika hali ya sasa haiwezekani tuwe na serikali tatu, za nini? mbili zenyewe tabu, tatu tutaweza? Hivi mnategemea hoja za akina LEMA, MBOWE , SUGU n.k zitengeneze Katiba? mimi mwenyewe ningeshangaa wasomi wa nchi hii.

usomi siokuwa na vyeti vingi nyumbani kwako mjinga wewe, hivi wewe kwa akili yako ilivyofupi unajua kwamba wale walikuwa ni wasomi??? Yale yalikuwa ni Magamba tu, nawalikuja kuwahadaa watz tu.
 
Hawa ni wale makapa/matupu ambayo yanategemea wanasiasa ili wale na ingawaje wana nafasi nzuri ni walafi. Wanawapigia wanasiasa magoti! Hapa wamepewa maagizo wafanya kongamano ili kutoa shinikizo kwa wale wabunge ambao bado hawana msimamo wa serikali mbili au tatu ili wabadilike. Ni Tanzania na nchi za namna yake unapata maprofesa wanaokimbilia siasa kwa ajili ya kujinenepesha. Kwenye nchi zingine kama Sweden ukimsikia Prof amekwenda kwenye siasa ni kwa sababu ana uchungu fulani na anataka apate nafasi ya kusaidia- ni mkereketwa fulani. Lakini hawa wasomi wetu wanakwenda na wanafanya siasa na ---------- kisiasa (kama vile tissue paper) kwa ajili ya tamaa binafsi na njaa zao! Pumbafu kabisa.
 
Walifanya kama wananchi wa kawaida ktk maeneo yao wanayoishi wakati wa kutoa maoni ya katiba
 
Kiuchumi, kwa nini si serikali moja? Tunataka kuona serikali ya tanganyika huru. No tanganyika, no zanzibar, muungano wa serikali mbili kwa faida ya nani? Kama sio manyang'au!
 
Tanzania hakuna wasomi!na kama wapo basi akili zao zimetekwa na CCM!
 
Mimi nataka serikali moja tu sitaki 3 za chadema wala sitaki 2 za ccm....
Wanaotaka serikali moja (akiwemo Prof. Tibaijuka) wanapata 96% - wengi ni perfectionists. Wanaotaka serikali tatu wanapata 85% - wengi ni marealistics (wanaamini on the end to justify the mean). Wanaotaka serikali mbili wanapata 35% - ni watu wa mazoea (sijui kingereza chake).
Hawa wa 35% wanaonekana kuwa wengi na huenda wakashinda hiki kikiwa kielelezo tosha kuwa miaka 50 ya kupigana na UJINGA tumetoka kapa!

 
Sijaangalia TV wala kuwaona popote, ila kwa reaction hii ya MLeta mada, Ben Saanane na Yeriko Nyerere ni wazi kabisa Wasomi wamewaumbua sana wanaoitaka serikali tatu.
... Kwa kuwa umekiri kuwa haujaangalia TV, basi kwa taarifa tu ni kwamba wamewaumbua sana pia wanaotaka serikali mbili!
 
Eti wale nao ni wasomi.Sijui niwaite slow learners au attention seekers sipati jawabu.Walikua wapi siku zote hadi rasimu inatungwa?Halafu wanashambulia serikali 3 .Hao wameunganishwa na itikadi ya Posho na kuuza sura tu.

They're craving for undue attention. Ni wasomi mizigo tena

Ben Saanane nakuunga mkono kabisa,wanajadili nini hii nchi ni ya maajabu sana
 
Last edited by a moderator:
Sijaangalia TV wala kuwaona popote, ila kwa reaction hii ya MLeta mada, Ben Saanane na Yeriko Nyerere ni wazi kabisa Wasomi wamewaumbua sana wanaoitaka serikali tatu.

Wasomi wamesomea nini tena? Siasa na maneno maneno au kuleta maendeleo?
 
kuna maswali mawili ya kujiuliza.
Kwanza;muda wote huu wasomi wetu walikuwa wapi??? Wakati warioba na tume wake walikuwa wakialika Watu washiriki???

Pili; hata kama wana mawazo mazuri inakuwaje wamezidiwa na Watu wa kawaida wasio wasomi wasiojua time management, wameweza kutumia muda wao kwa wao vizuri kuweza kutoa maoni?????? Ni Aibu kwa wasomi wetu

source:ITV

msomi wa tz hawezi kuja mahala kutoa mchango/wazo lenye mtazamo wa kiuzalendo kwa taifa, kama hajahakikikishiwa kuondoka na "kabahasha".wasomi wa tz ni wasomi waliozoea warsha,semina na makongamano period.
 
kwa kweli haya ni maajabu ya wasomi wa tanzania eti ndiyo wana kumbuka shuka sasa baada ya rasimu ya pili kutoka na tayari bunge la katiba liko kikaoni wao ndiyo wana kujadili muundo wa serikali unaofaa kiuchumi:
Kuna maswali mawili ya kujiuliza.
Kwanza;muda wote huu wasomi wetu walikuwa wapi??? Wakati warioba na tume wake walikuwa wakialika watu washiriki???

Pili; hata kama wana mawazo mazuri inakuwaje wamezidiwa na watu wa kawaida wasio wasomi wasiojua time management, wameweza kutumia muda wao kwa wao vizuri kuweza kutoa maoni?????? Ni aibu kwa wasomi wetu

source:itv

you got it wrong

wanajadili mfumo wa serikali na si mfumo wa muungano. Bila kujali mfumo wa muungano hizo serikali ndani ya muungano (1,2,3...) zitakuwa na muundo wake n jinsi zinavyofanya kazi. Nadhani hicho ndicho kinachojadiliwa
 
Unafikiri hao wasomi wamekaa kiholela tu? hawajafuata utaratibu? mbona tunakuwa na vichwa vilivyolala kiasi hiki?

Walikuwa wapi wakati wa kutoa maoni kwenye tume?Wanakurupuka leo kukosoa!Hakuna kazi rahisi kama kusubiri watu wajenge halafu wewe ukosoe tu!Hao ni sawa na mashabiki wa mpira wanaomkosoa mchezaji wakidhani kazi yake ni rahisi tu.Kama walijiona wasomi kwa nini hawakuingia kucheza tangu mwanzo?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom