Maajabu:baada ya Rasimu ya pili na bunge la katiba kuanzaWASOMI wajadili muundo wa serikali unaofaa

Eti professor. we have so many profs siwaheshim naona waganga njaa tu it mean walikosa muda kuiona tume ya waroba hadi leo ndio wanakumbuka shuka ikiwa kumwkuchwa ajabu ya karne

Tatizo ni kwamba wameongelea uhalisia wenywe sasa wale waliokuwa ving'ang'anizi wa serikali tatu wanaweweseka.
 
Hawa wamelipwa pesa nyingi kukaa hapo. Na walioandika paper pia watakuwa wamepewa pesa nyingi tu. Ili wahitimishe kwamba: Muungano wa serikali mbili ndio sawa na serikali tatu ni hatari sana!
 
Wale walikuwa ni wapuuzi tu! Makamanda mimi nasema hv, bila serikali 3 ni bora tusiwe na muungano wa kijinga namna hii. Patachimbika
 

msomi, mpenda maendeleo, mpenda amani na asiye na uchu wa madaraka kamwe hawenzi kuunga mkono serikali tatu
 
Hao wasomi wamesahau kusema kuwa gharama za serikali moja ndio nafuu kuliko zote.
 
Mimi nataka serikali moja tu sitaki 3 za chadema wala sitaki 2 za ccm....
Kwa hiyo kwa akili zako zilivyo fupi Warioba anavyo tetea na kufafanua juu ya serikali 3 anasimamia upande wa CDM? Tambua 64% ya watanzania walipendekeza serikali 3 hivyo kwa kauli yako basi CDM ipo na wananchi tafauti na CCM unayoishabikia.
 

Hamjawakilishwa na ZAVERI LWAITAMA apeleke pumba zake pale?
 
Kwa hiyo kwa akili zako zilivyo fupi Warioba anavyo tetea na kufafanua juu ya serikali 3 anasimamia upande wa CDM? Tambua 64% ya watanzania walipendekeza serikali 3 hivyo kwa kauli yako basi CDM ipo na wananchi tafauti na CCM unayoishabikia.

who is WARYOBA my dear, yule anapelekwa pelekwa tu. Yeye mwenyewe wakati mkutano wa TCD alikiri kuwa pamoja na kupendekeza serikali tatu lakini wajumbe wa kamati yake waligawanyika katika hoja hiyo. How comes wabishane kama hoja ilikuwa ni mawazo ya wananchi? Tena Waryoba asiwe sababu ya kung'ang'ania serikali tatu.
 
Wale walikuwa ni wapuuzi tu! Makamanda mimi nasema hv, bila serikali 3 ni bora tusiwe na muungano wa kijinga namna hii. Patachimbika
Nyie ni watu wachache sana mtakunjwa kama karatasi na kutupwa jalalani.
 
Hawa wamelipwa pesa nyingi kukaa hapo. Na walioandika paper pia watakuwa wamepewa pesa nyingi tu. Ili wahitimishe kwamba: Muungano wa serikali mbili ndio sawa na serikali tatu ni hatari sana!

Hata wasingekaa, katika hali ya sasa haiwezekani tuwe na serikali tatu, za nini? mbili zenyewe tabu, tatu tutaweza? Hivi mnategemea hoja za akina LEMA, MBOWE , SUGU n.k zitengeneze Katiba? mimi mwenyewe ningeshangaa wasomi wa nchi hii.
 

labda ndo muda muafaka wa kuzifanyia kazi tafiti zao zilizo ota kutu kwenye ma shelves...tuwape muda
 
Hawa wamelipwa pesa nyingi kukaa hapo. Na walioandika paper pia watakuwa wamepewa pesa nyingi tu. Ili wahitimishe kwamba: Muungano wa serikali mbili ndio sawa na serikali tatu ni hatari sana!

Hawa ni wana CCM ambao mlikwisha taarifiwa walikaa wakachakachua rasmu ya pili ya Katiba. Wanaongozwa na tumbo. Timu imeundwa na akina Mukandala,Bana na wachumia tumbo wengine kama Malyamkono yule Mganda Kyaka toka Misenyi!
 
Serikali tatu ni gharama sana. Ni bora hata ambavyo serikali ya Tanganyika ilijiattach na serikali ya muungano...tukawa na serikali 2. Ilipunguza gharama kwa kiasi fulani.
Ila suluhisho kiuchumi ni SERIKALI MOJA TU
 
ccm kwa uzoefu hawafanyi mambo kwa jazba. Mfumo bora kwa muungano wa Tanganyika na zanzibar ni serikali mbili na hawayumbi kuhusu hilo. Vyama vingine vina jazba na kuhamasisha wananchi kufuata njia isiyokua na maslahi kwa mstakabali wa taifa. Wasomi sasa wanazinduka usingizini wakati Warioba kashatoa pendekezo kutokana na maoni yaliyotolewa kwa jazba badala ya hekima. Yeye pia inaelekea ana jazba. Ni wajibu wa bunge la katiba kupiga tiktak wazo la serikali tatu na kubakiza mambo yote mema ya tume ya Warioba.
 

kwani UNADHANI KUNA YEYOTE ANAYEWATILIA MAANANI BASI , KILA MTU KAWAPUUZA !
 
1+1=2 nyerere

Nafarijika kuona Maccm yote mpaka wavaa vipedo mnaheshimu msimamo wa maslahi ya mfumo kristo na cardinal Pengo wa serikali mbili.

Halafu tusikie mnabanabana puwa eti ohhooo mfumo kristo! imbecile.
 
Kama ni hao waliochaguliwa na JK, watakuwa ni wasomi wa LUMUMBA. Kwahiyo msitarajie hoja tofauti na ile ya NEC-CCM. Nasikitika sana tulivyopoteza muda na gharama kubwa ya TUME ya kukusanya maoni, maana maamuzi ya mwisho yatakuwa ni ya chama TAWALA chenye wanachama MILIONI 4 dhidi ya wananchi MILIONI 45. Nilifikiri tunatengeneza KATIBA ya nchi, kumbe ilikuwa KATIBA ya chama.
 
Wakati Firauni akidai kuwa yeye ni Mungu na kuwatesa wana wa Israel huko Misri, Mwenyezi Mungu alimtuma Musa akambainishie Firauni kuwa yupo katika upotevu na asiwatese Wana wa Israel.

Firauni katika kuyakataa aliyokuja nayo Musa na kupambana naye akafikia hatua ya kukusanya watu mji mzima waje kushuhudia mpambano wa wachawi wake na Musa.

Siku ile wachawi walishindwa, wakatubia na ikawadhihirikia Wamisri wote kuwa Firauni ni muovu.

Badala ya Wamisri kuchukua hatua ya "kumvaa" Firauni siku ile moja tu na "kumalizana" naye once and for all (asingeweza kufanya kitu dhidi ya umma wote wa Wamisri waliokuwepo pale kama wangeamua) wao wakamuachia na kukosa urijali wa kumuadabisha Firauni.

Firauni akaendelea kujiita Mungu na kuwatesa Wana wa Israel (si hakuna wa kumzuia katika watu wake?) tena Wamisri wakazidi kujiunga naye katika kutesa, matokeo yake wakahalikishwa wao na Firauni.

Kwa Wamisri, kukosa kwao ushujaa wa siku moja tu kumewagharimu maisha yao ya kidunia na akhera..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…