Uchaguzi 2020 Maajabu: Fomu ya kuomba Wadhamini ya Mgombea wa CCM inatembezwa na Viongozi wa CCM Makao Makuu...

Uchaguzi 2020 Maajabu: Fomu ya kuomba Wadhamini ya Mgombea wa CCM inatembezwa na Viongozi wa CCM Makao Makuu...

Wadhamini ni mamantilie na bodaboda wanaopewa mafuta ili kusaini, wanyonge ni watu wa kuridhika na kitu kidogo!
 
Hili si jambo la kitoto kama unavyotaka kuaminisha watu hapa
Nawe kachukue fomu halafu umpe Membe akutafutie wadhamini. Kila mtu anampa anayemwamini. Kuwa kiongozi wa chama Haina maana huwezi kumchagua unayemtaka.
 
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini?
Wazinzi mnaghubu sana
 
Mbona ilitangazwa kabisa kwamba kama Rais wa TZ anatoka CCM, akimaliza miaka mitano ya kwanza ya urais, atakuwa mgombea pekee kwa tikiti ya CCM ili awe rais kwa miaka yote 10 anayoruhusiwa na Katiba ya Chama. Sasa huyo mgombea mwingine atoke wapi?
Sielewi kwanini chadema wanalialia, mgombea urais mwingine wamlete wao apambane na Joni, au hawana mgombea?
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini?
Akili yako unaijua mwenye. Huyu ni mwenyekiti wa chama na Wafanyakazi wa chama ni Wafanyakazi wake! Unataka nani akaitembeze fomu?
 
tupe ibara ya katiba ya ccm tuione
Mbona umekomaa Sana na Mambo ya CCM yanakuhusu kivipi? Huko chadema mmeshapata mgombea?
Makamanda wamesema mnaenda kushinda uchaguzi na kuchukua dola Sasa hofu yako Nini Kama Kuna Jambo la kubadilisha subiri October rais toka chadema atabadilisha. Tatizo hata wewe hujui mgombea urais kwa tiketi ya chama chako chadema ni Nani na hajulikani.
 
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini?
Yanakuhusu, na wewe si ukatembeze ya DJ
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Jakaya alipochukua fomu ya kuwania Urais 2010 na kumpa Mwanachama mwenzake Ridhwan Kikwete amtaftie wadhamini basi kina Saeed kubenea na wana Chadema wenzie walimtukana sana Jk kwa madai eti kadharau Viongozi wenzake ambao wangeweza kumsaidia kupata wadhamin, leo hao hao wanapinga ushauri wao

Viva Ngosha
Tatizo la Hawa jamaa nyumbu kazi yao ni pingapinga Fc, ni kupinga kila kitu bila kufikiria na hawakumbuki Jana walipinga Nini.
 
JPM aliyetafuta wadhamini 2015 sio huyu unaemzungumzia leo. Kuwa na adabu alafu jifunze kufahamu mambo.
Sasa hivi ni head of state,tambua hilo.
Achana nao hao nyumbu, wanadhani mwenyekiti wao wa chadema anavyozurula usiku kwenye mabaa akilewa na mwenyekiti wa CCM nae anaweza kuzurula ovyo. Huyu ni rais wa JMT.
 
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini?
Fomu ya JK kwa mwaka 2010 ilitembezwa na maafisa waandamizi wa makao makuu, baadhi ya vijana wa vyuo vikuu, makada wa CCM waliopikwa na kuiva na watu wa karibu nchi nzima...
 
IMG_0430.jpg

Mzinzi wa taifa ana wadhamini wangapi hadi sasa?
 
Achani kucheza mziki wa CCM, leteni cv za wagombea wa Chadema tujue uwezo wao.
 
Back
Top Bottom