Maajabu haya yanapatikana tu Yanga SC

Mtoa post ni Simba mwenzetu,Simba wengine wanampalamia kwa makucha.
Mueleweni basi mleta mada nae ni shabiki wa Simba.
Pale Mbumbumbu mwenye unafuu kidogo, anapojaribu kuwashauri mbumbumbu wenzake ambao wako katika hali ya umbumbumbu uliopitiliza! 😁😁😁😁

Wananchi tumekaa tu pembeni tukiwaangalia mnavyo paramiana.
 
Pale Mbumbumbu mwenye unafuu kidogo, anapojaribu kuwashauri mbumbumbu wenzake ambao wako katika hali ya umbumbumbu uliopitiliza! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Wananchi tumekaa tu pembeni tukiwaangalia mnavyo paramiana.
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mtoa post ni Simba mwenzetu,Simba wengine wanampalamia kwa makucha.
Mueleweni basi mleta mada nae ni shabiki wa Simba.
Generalist ni yule yule All-Rounder Ni utopolo wa kutupwa!! Tafuta nyuzi na post zake kwa majina hayo ili ujiridhishe na Hilo! Kwa siku za hivi karibuni amejaribu kujifanya ni mshabiki wa Simba huku akiikandia Simba!! Tunaomfahamu tangu siku nyingi hatukuchelewa kumfunua utopolo huyu mkubwa!!
 
Tupe na matokeo ya mechi yenu na Prisons, tena wakicheza pungufu.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mbumbumbu fc bwana. Wazee wa kujitia dole mkunduni alafu wananusa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule ndo mnafki mkuu wa jamii forum.
Hata kwenye siasa ana undumi la kuwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…