Sense = aendeAchana na intera - hamwe lazima sense na mwendo wa kujifichaficha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sense = aendeAchana na intera - hamwe lazima sense na mwendo wa kujifichaficha.
Ndiyo huyohuyo, Ni intera hamwe alikimbia genocide ya 1994, kwao hawezi dhubutu kutia mguu.Huu uandishi umenikumbusha Gentamycine.
FC Platnumz alipigwa 4, Al Hilal alipigwa 4, Vita akapigwa 4. Halafu unaleta kidomo domo na yanga yako, hovyo kabisa
Mchezaji anamiaka 35 ndio wa kumshangilia wakupuuzwa amewekwa anakula badala ya kufanya mazoeziWakati Klabu ya Simba ikiwa inashangilia Kutinga Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika tena Convisingly kabisa huko Yanga SC katika hali ya Kushangaza leo nao Wameshangilia urejeo wa Mshambuliaji wao Mburundi Saido Ntibanzonkiza.
Kuna Watu hata Aibu hawana na wala hawaogopi kutokana na Simba SC ilivyo sasa Kimchezo huku Kipigo Kikali cha Shalubela au Paka Shume kikiwasubiria hapo tarehe 8 May, 2021.
Kama kuna Kocha ambaye namuonea Huruma ni Juma Mwambusi wa Yanga SC kwani huenda Kipigo Kitakatifu atakachokipata tarehe hiyo tajwa hapa juu kutoka kwa Simba SC huenda tatizo lake Kubwa la Moyo, Figo na Bandama likarejea na kuyaanza Maisha mapya katika Majokofu ya Muhimbili Referral Hospital.
Kama Mwarabu Al Ahly Kafa huku Mkongo nae AS Vita Club nae Kafariki kabisa Jana Wewe unayeshindia Mihogo na Makande huko Maporini AVIC Kigamboni utaweza kweli kulizuia ' Pira Sharma ' la Mnyama Simba SC?