Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cjaelewa mkuuu[emoji15] [emoji15] [emoji15]
laki mbili huku inatosha kununua nissan B14 i hope you meant Tshcjaelewa mkuuu[emoji15] [emoji15] [emoji15]
i got ulaki mbili huku inatosha kununua nissan B14 i hope you meant Tsh
we ni j*ha kweli...nairobi mombasa ni fuso peke yake uliona.sijui ujibiwe vipiAf mbona wakenya maringo yote hayo kumbe hamna kitu.saivi nimetokea maeneo ya mukaa kwa wakamba nimeteremka sehemu inaitwa salama naelekea mombasa.huwezi amin gari ya route nairobi mombasa ni mafuso kama yanayopiga route ya za wilaya to wilaya tanzania
Nyie ndo majuha mnaringa kumbe mnasafiria malori.na ni mengi kuliko mabasi.na kwa nairobi town hakuna mabasi ni vifodi kama vya arusha.we ni j*ha kweli...nairobi mombasa ni fuso peke yake uliona.sijui ujibiwe vipi
Habari zenu wana Jf
kwa siku kadhaa nimekuwa nikisoma uzi kadhaa kuhusu miji ya Afrika mashariki hapa JF.
mji wa Mombasa ni mmoja wa miji yenye kusifiwa sana kwa mambo mazuri,
nilibahatika kufika pale wiki kadhaa nyuma lakini ajabu niliyoona mji ule hauna hata Stand ya Bus.
yaani kila kampuni inapakilia abiria ofisini kwake.
nikamuuliza mwenyeji wangu kulikoni? kaniambia mabepari walishauza kila kitu hata viwanja vya wazi hakuna,nikashangaa kuona hata daladala (Matatu) zao hazina stand zinapakia kokote tu.
ukweli mpangilio wa mji ule uko hovyo kabisa kwa mjini pale labda pembeni ambako sijatembelea.
Kitu kimoja tu nilipenda mji ule pale kivuko cha LIKONI pale wana ferry kama 3 au 4 zinapishana na watu wanapanda bure tu ila magari na vyombo vingine ndio wanalipa.Kwa hilo hongereni sisi hapa tuliambiwa kama hatuna pesa tupige mbizi tu.
Kingine barabara ya kutoka horohoro kwenda MSA ni mbovu hovyo kabisa na nyembamba mno.
Na nilichoona kingine Kenya maendeleo yao mengi ni ya mkoloni tu lakini toka wapate uhuru sidhani kama kuna la maana wamefanya.
Kingine maisha ni magumu sana sana nchi ile jamaa wana dhiki vibaya sana,najiuliza wao kuwa vinara wa Afrika Mashariki kwa uchumi imara lakini uchumi wao hauna faida wala msaada kwa raia wa kawaida, ni hayo tu kwa leo.
sawa bana umeshinda...nligundua kubishana haisaidii.It's true ukiwa salama town nimalorry ya fuso ndo hupita kusafirisha abiria from Nai to MsaNyie ndo majuha mnaringa kumbe mnasafiria malori.na ni mengi kuliko mabasi.na kwa nairobi town hakuna mabasi ni vifodi kama vya arusha.
Sijawahi tumia stage hizo mimi, sina time!! Yaani Tanzania mnawakati wa kumaliza eti muende kuchukua gari kituoni.nairobi stage ipo inaitwa COUNTRY BUS ipo maeneo ya westlands so cjui ni nairob gan mnadanganyana hapa
Iko hio pande nyingine ya jiji. Kuna BS, Commercial, Easy Coach wana yao, Railways n.knairobi stage ipo inaitwa COUNTRY BUS ipo maeneo ya westlands so cjui ni nairob gan mnadanganyana hapa