Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,603
- 13,654
mmh nahisi umechanganya mambo...nakumbuka alikuwepo monalisa (huyu muigizaji), ted ( sasa ivi ameolewa huko America),Hivi Jockate si ndo yule alikuwa anahost kipindi cha Jackpot bingo miaka ya 2000? Tena alikuwa hivihivi kama alivyo leo?
hanifa (alikuja kuwa mtangazaji wa Itv kipindi cha muziki), na Janeth Mwenda ( huyu namuonaga clouds tv).
naweza kusahihishwa