tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,419
Hahaha nna mumeee..Hongera kwa uzuri wako pamoja na genes nzuri zinazokupa umbo zuri.
Lakini pia nadhani una mtu wako wa uhakika (mume au mchumba). Kama bado ungekuwa kwenye soko huria ungekuwa mgumu kidogo kuanika umri wako.
Kiukweli ht kabla sijaolewa...mtu akiuliza we ni mwaka gani sisiti kusema