MAAJABU!!! Mdogo wa kiume wa Jokate ana miaka 30 lakini Jokate anamiaka chini ya 30 hahaha

MAAJABU!!! Mdogo wa kiume wa Jokate ana miaka 30 lakini Jokate anamiaka chini ya 30 hahaha

Lemutuz anakwambia "Sisi vijana wa bongo ni kazi juu ya kazi yaani bampa to bampa" wakati huo ukimcheki yupo nyuma ya keyboard kwenye kafremu kake pale Mnazi mmoja akikagua kablog kake uchwara. Angekuwa anafanya kazi kama sisi sijui ingekuwaje? Haya bhana kijana wa bongo
 
Ameishaolewa? Kama bado ani pm maana nimrembo sana kwakweli
 
Haya mambo mengine ni kukausha tu ndugu
 
Wema alichukua taji na miaka chini ya 20 mwaka 2006. Hiyo akseleresheni umeitoa wapi... Hamsikii raha bila kumtaja Madame kwenye upuuzi wenu eh?

Tufanye alichukua na miaka 15 .... Then toka 2006 hadi 2017 , tunapata miaka miaka 11 .... Yah yah, jumla ana miaka 26 .... kweli wanamsingizia madam
 
Kwanini huwa wanadanganya umri?!
Tatizo hata mababu nao wanazitaka zilizo changa lakini kama wangezitaka za wazee wenzao; haya mambo yasingekuwapo kabisa!! But all in all, Jokate is 30.

Wakati wa Miss TZ 2006, ni Wema ndie alikuwa na tuhuma za kushiriki akiwa under 18... hata mimi; sikuamini kama alishafikisha 18.
 
Mastaa wa kike wa Kibongo wote washahamia Mars ambako mwaka mmoja ni sawa na miaka miwili ya Earth...
 
rubii said:
Ha ha a a mtu sura imemkomaa lakini anakwambia anamiaka 26

Rahisi sana kuponda wenzenu huku mmejificha nyuma ya avatar. I bet umekomaa sura kuliko Madame Wema, bisha...

Comrade Mphamvu,
Pls, mtake radhi Swtbird wangu rubii
Ni binti mrembo mno kushinda hao wanaodanganya umri wakati wako above 30's..
Najivunia mno na kipenz changu rubii ...
 
Kuna watu nina mashka na umri wao

Wema
Aly kiba
Jokate
Kaseja
Ngassa

Hawa jamaa nina mashaka nao sana

Ngasa nipo darasa la 7 yeye la 5 ila anavuta bangi na kucheza mpira na vijeba , uyu umri hajadanganya ila ameanza mpira mdogo sana kwa steam ya bange
 
Sasa wewe uliyeanzisha hii topiki, umri wa jokate wewe una kuhusu nini? hopeless kabisa.
 
rubii said:
Ha ha a a mtu sura imemkomaa lakini anakwambia anamiaka 26



Comrade Mphamvu,
Pls, mtake radhi Swtbird wangu rubii
Ni binti mrembo mno kushinda hao wanaodanganya umri wakati wako above 30's..
Najivunia mno na kipenz changu rubii ...
You just wasted a precious server space afisa. Nashukuru kwa kuniita Kamaradi, lakini kama una tatizo na Wema hatuko pamoja...
 
Tufanye alichukua na miaka 15 .... Then toka 2006 hadi 2017 , tunapata miaka miaka 11 .... Yah yah, jumla ana miaka 26 .... kweli wanamsingizia madam
Bruh umedandia gari kwa mbele. Niliyemjibu amesema kuwa Sepenga alikuwa na miaka 26 tangu mwaka 2008... Ndio hapo niliposhangaa, ya 2017 sijayatilia maanani, she's forever young u know...
 
Back
Top Bottom