Maajabu: Simba dume wakipandana. Je, wanasayansi mko wapi?

Urongo.

Hao simba ni mabwabwa ya asili, hawajalishwa cha protini wala sembe. πŸ˜‚
 
Yes, yes upo sahihi sana ndg Mtanganyika.

Hizi mambo zipo very organized, hivyo wanaweza kuwa wamewafundisha au kuwapa dawa za kuwaharibu mfumo wao wa kibaiology ili tu wafanikishe agenda yao.

Wakoloni si watu kabisa.
Nakubaliana na wewe mkuu
 
Utafiti unaonesha Hata wanyama mashoga wapo!!
So hii inawajibu wanaosema wanyama hawafanyi
 
naendelea kusoma koment, tiririkeni, BICHWA KOMWE kawakamata leo
Nilikuona kwenye uzi mmoja bila shaka hizi ni I'd za mtu mmoja. Moja unajitekenya, nyingine unacheka. Pole, we endelea kuliwa tako tu sisi tunaendelea kula mabinti wazuri ambao Mungu aliwaumba kwa ajili yetu. Kuna vitoto vya 2000's si mchezo.πŸ₯°πŸ˜πŸ€©πŸ˜˜ Acha Simba tu, ungeweka hata video za Yanga ila hatuji huko ng'ooooooo. Tunakula K tu.
 
Hii dunia inapoelekea ni balaa, hadi mfalme wa nyika anakuwa upinde, sijui huyo mwenzie amempiga sound gani hadi akakubali kuchutama apelekewe moto
 
Unahamasisha Upinde kidizaini waliokutuma wamekulipa bei gani?
Wataalam wataongezea nyama apo n Dume kiongozi linaonyesha umwamba tu ila hawapigani miti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…