Maajabu: Simba dume wakipandana. Je, wanasayansi mko wapi?

Maajabu: Simba dume wakipandana. Je, wanasayansi mko wapi?

Hao wamefundishwa uovu, hawana tofauti na wale mbwa wanaofanya ngono na binadamu.
 
Hivi hawa simba hawayajui maadili yetu ya Kitanganyika au kisirani tu?

Mbona tulishaelezana sana humu kuhusiana na mila za kitanganyika mpaka tukaandika majarida!

Video imewabamba simba dume watatu katika mbuga ya Serengeti wakipandana kwa zamu na kwa hamasa ya hali ya juu sana!

Sijui ni upwiru wa nyikani ama ni nini lakini wanasayansi wa kitanganyika hawana budi kutufafanulia hili swala limekaaje katika ulimwengu wa wanyama.

Tulishaelezwa sana humu na mabingwa wenye utaalamu wa kisayansi kwamba wanyama wana akili sana ati huwa hawakosei kati ya tundu la papuchi na tundu la haja kubwa, lakini hawa simba wa serengeti wanazagamuana tu kwenye inye.

Hili swala liko kinyume kabisa na mila zetu za kitanganyika na haliakisi kabisa maadili yetu.

Sisi kama watanganyika lazima mila zetu ziheshimiwe katika mipaka yote ya nchi!! Hawa simba ni nani wa kukiuka mila zetu?

MY TAKE: Nimeshtuka hadi tumbo langu la uzazi limecheza.


View: https://youtu.be/RnRRoMdKwpk?si=33PzimEG42RQA0Fr


View: https://youtu.be/yDMtYdJoGQA?si=Z9uWaBNGnxbC2R48

Inaonyesha kuwa simba Hawa wapo zoo na hakuna majike, je kama ni test ya zile dawa za kuleta hamu Kwa wanaume kusarandiana utaaminije Kwa clip ya video ambapo simba Hawa ni wakufugwa kabisa unaonyesha. Tunataka tudhihirisha pori halisi.
 
Hii Thread itasababisha Mashabiki wa Simba wamshinikize MO abadilishe jina la Timu
 
Hivi hawa simba hawayajui maadili yetu ya Kitanganyika au kisirani tu?

Mbona tulishaelezana sana humu kuhusiana na mila za kitanganyika mpaka tukaandika majarida!

Video imewabamba simba dume watatu katika mbuga ya Serengeti wakipandana kwa zamu na kwa hamasa ya hali ya juu sana!

Sijui ni upwiru wa nyikani ama ni nini lakini wanasayansi wa kitanganyika hawana budi kutufafanulia hili swala limekaaje katika ulimwengu wa wanyama.

Tulishaelezwa sana humu na mabingwa wenye utaalamu wa kisayansi kwamba wanyama wana akili sana ati huwa hawakosei kati ya tundu la papuchi na tundu la haja kubwa, lakini hawa simba wa serengeti wanazagamuana tu kwenye inye.

Hili swala liko kinyume kabisa na mila zetu za kitanganyika na haliakisi kabisa maadili yetu.

Sisi kama watanganyika lazima mila zetu ziheshimiwe katika mipaka yote ya nchi!! Hawa simba ni nani wa kukiuka mila zetu?

MY TAKE: Nimeshtuka hadi tumbo langu la uzazi limecheza.


View: https://youtu.be/RnRRoMdKwpk?si=33PzimEG42RQA0Fr


View: https://youtu.be/yDMtYdJoGQA?si=Z9uWaBNGnxbC2R48

Hamia YANGA
 
Nilikuona kwenye uzi mmoja bila shaka hizi ni I'd za mtu mmoja. Moja unajitekenya, nyingine unacheka. Pole, we endelea kuliwa tako tu sisi tunaendelea kula mabinti wazuri ambao Mungu aliwaumba kwa ajili yetu. Kuna vitoto vya 2000's si mchezo.
 
Vinasaba vya kuku vinafanyiwa udanganyifu ndani ya wiki tatu kuku anafaa kuliwa ishindikane vinasaba vya matako ya simba? Kwanini sasa hivi ndo waonekane wana hizo tabia na Simba wapogo tu miaka na miaka?
 
mwenye hekma ya KIMUNGU awez kucomment chochote na walha hatembeleagi uzi wa kisalfeti.
 
Vinasaba vya kuku vinafanyiwa udanganyifu ndani ya wiki tatu kuku anafaa kuliwa ishindikane vinasaba vya matako ya simba? Kwanini sasa hivi ndo waonekane wana hizo tabia na Simba wapogo tu miaka na miaka?
BICHWA KOMWE et hao simba dume wamefanyiwa vinasaba ili wanyanduane?
 
Back
Top Bottom