Maajabu: Simba dume wakipandana. Je, wanasayansi mko wapi?

Hao wamefundishwa uovu, hawana tofauti na wale mbwa wanaofanya ngono na binadamu.
 
Inaonyesha kuwa simba Hawa wapo zoo na hakuna majike, je kama ni test ya zile dawa za kuleta hamu Kwa wanaume kusarandiana utaaminije Kwa clip ya video ambapo simba Hawa ni wakufugwa kabisa unaonyesha. Tunataka tudhihirisha pori halisi.
 
Hii Thread itasababisha Mashabiki wa Simba wamshinikize MO abadilishe jina la Timu
 
Hamia YANGA
 
Nilikuona kwenye uzi mmoja bila shaka hizi ni I'd za mtu mmoja. Moja unajitekenya, nyingine unacheka. Pole, we endelea kuliwa tako tu sisi tunaendelea kula mabinti wazuri ambao Mungu aliwaumba kwa ajili yetu. Kuna vitoto vya 2000's si mchezo.
 
Vinasaba vya kuku vinafanyiwa udanganyifu ndani ya wiki tatu kuku anafaa kuliwa ishindikane vinasaba vya matako ya simba? Kwanini sasa hivi ndo waonekane wana hizo tabia na Simba wapogo tu miaka na miaka?
 
mwenye hekma ya KIMUNGU awez kucomment chochote na walha hatembeleagi uzi wa kisalfeti.
 
Vinasaba vya kuku vinafanyiwa udanganyifu ndani ya wiki tatu kuku anafaa kuliwa ishindikane vinasaba vya matako ya simba? Kwanini sasa hivi ndo waonekane wana hizo tabia na Simba wapogo tu miaka na miaka?
BICHWA KOMWE et hao simba dume wamefanyiwa vinasaba ili wanyanduane?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…