MAAJABU: Wakati Ubaguzi ukipamba moto huko China kwa watu weusi kutuhumiwa kuwa chanzo cha Corona, viongozi wa Africa wawatetea wachina !!!

MAAJABU: Wakati Ubaguzi ukipamba moto huko China kwa watu weusi kutuhumiwa kuwa chanzo cha Corona, viongozi wa Africa wawatetea wachina !!!

Wanarudi na nn sasa Ndege iko wapi?
Mlienda kufanyaje?

Watu wamejenga nchi zao wamezifanya kuwa miamba ya kiuchumi, wakaunda mifumo yenye high levels of civilization and technology......halafu waswahili wanajipeleka tu kana kwamba wanaenda adventure ya paradiso!

The truth is, you look dirty in their eyes!

Wakiwatizama wanaona masokwe wachafu wenye ebola na magonjwa ya ngozi!

Ndio maana ukipanda basi wanakuachia basi lote!

Hawawapendi. You must know that!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia video Number 2.

Wanakuja kukubagulia huku huku tene hata viboko wanakupiga kama walivyowapiga wakenya kina MK254
Si wanawaona wajinga tu!

Wana ile fikra kwamba nyie ni vijakazi na wanaweza kuwafanya chochote!

Wana superiority complex ambayo imejaa kwenye DNA zao dhidi ya mtu mweusi!

They will always treat you like slaves because that is what you were doomed to be!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kipindi kile Wuhan ipo under the lock down, tuliona pics na video clips zikionyesha jinsi askari wa China wakiwatandika wachina wenzao kinyama sana kuwalazimisha wakae nyumbani. Ni waafrika ambao walishabikia vitendo vile kwa madai lazima sheria zifuatwe, ni waafrika wakaanzisha msemo uliolenga kuwananga wazungu kwamba, "utiifu wa Wachina ndiyo umepelekea Wachina kuidhibiti Corona, na ni utukutu na ujuaji wa Wazungu unaopelekea Corona kuwaangamiza".

Katika kipindi kile Wuhan ipo under the lock down, na maeneo mengine ya China yakishauriwa kujifungia, tuliona jinsi Waafrika wakitupia picha na video mitandaoni kuonyesha jinsi wao katika kipindi hicho wakiwa huru kuzurura mitaani bila hofu ya Corona huku wachina wakiwashangaa. Africans wakajiona ni very special specie, leo wanapodhibitiwa wanasahau yote kwamba hata wachina walidhibitiwa na wachina wameizoea hiyo hali na hawalalamiki kwa yeyote. Wanasahau kwamba kwenda China ambako udhibiti wa raia wake na uminyaji wa uhuru wao ni sehemu muhimu ya kanuni na utamaduni wao, hivyo ukienda mgeni usitarajie any special treatment, na zaidi hata raia wao wanaominywa watapata pa kupumulia kwenu, kwani kila mnyonge ana mnyonge wake.
 
Mlienda kufanyaje?

Watu wamejenga nchi zao wamezifanya kuwa miamba ya kiuchumi, wakaunda mifumo yenye high levels of civilization and technology......halafu waswahili wanajipeleka tu kana kwamba wanaenda adventure ya paradiso!

The truth is, you look dirty in their eyes!

Wakiwatizama wanaona masokwe wachafu wenye ebola na magonjwa ya ngozi!

Ndio maana ukipanda basi wanakuachia basi lote!

Hawawapendi. You must know that!

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini wanajifanya marafiki wa waafrika! Kosa ni la viongozi wetu wanawakumbatia sana; wawatimue kutoka Afrika na vimiradi wanavyo wapa. If it were me, I would better associate with Americans, Europeans than Chines!
 
Watu weusi ni watu wa ajabu ajabu tu

Wachina hawajakosea, watu weusi ni :-

-Wavivu

-Wajinga

-Masikini sana

-Fikra duni

-Wana chuki sana

-Wana Majungu

-Hawapendani kweli / Upendo wa kinafiki

-Hawatakiani

-Hawawezi kujiongoza

-Viongozi hawajali wananchi wao.

-Hawajiamini

-Ni kweli wana Low IQ.

Tokeni kwa watu, kaeni na viongozi wenu mjenge nchi yenu kiuchumi, kidiplomasia na kiteknolojia acheni kujikomba kwa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini wanajifanya marafiki wa waafrika! Kosa ni la viongozi wetu wanawakumbatia sana; wawatimue kutoka Afrika na vimiradi wanavyo wapa. If it were me, I would better associate with Americans, Europeans than Chines!
Hawa viongozi wa hili bara hawawezi kuwatimua Wachina kamwe.

Kumbuka nchi nyingi za Africa zinadaiwa madeni makubwa mno na China.

isitoshe nyingine zinategemea huruma na ufadhili wa China kujiendesha kiuchumi baada ya kupigwa pini na wazungu (mfano Zimbabwe).

Usisahau pia mikopo yao haiambatani na masharti magumu mfano haki za binadamu hivyo watawala wanaipenda hiyo kuliko ya wazungu.

Pia miradi yao mingi inatoa mianya ya upendeleo,rushwa na Ufisadi tofauti na wazungu hivyo watawala wanaipenda zaidi hii miradi ya Wachina.
 
Watu weusi ni watu wa ajabu ajabu tu

Wachina hawajakosea, watu weusi ni :-

-Wavivu

-Wajinga

-Masikini sana

-Fikra duni

-Wana chuki sana

-Wana Majungu

-Hawapendani kweli / Upendo wa kinafiki

-Hawatakiani

-Hawawezi kujiongoza

-Viongozi hawajali wananchi wao.

-Hawajiamini

-Ni kweli wana Low IQ.

Tokeni kwa watu, kaeni na viongozi wenu mjenge nchi yenu kiuchumi, kidiplomasia na kiteknolojia acheni kujikomba kwa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Na mama yako naye ni mwafrika, Je naye pia ana Low IQ, hajiamini na hawezi kujiongoza?.

Mtumwa wa kifikra wewe.

Wewe ni mtwana usiyejielewa!!
 
Back
Top Bottom