Maajabu: Wanaume wa Dar siku hizi wanashindwa kumeza ugali wamehamia kwenye uji

Maajabu: Wanaume wa Dar siku hizi wanashindwa kumeza ugali wamehamia kwenye uji

Yaani wa Dalisalama huwa nawashangaa sana

Utawakuta wanapenda maonesho na dada zetu kule posta....haaa cha ajabu baadhi yao nao ni chakula! Na rangi za ngozi wamebreach pia sauti wanaongelea puani


Mungu anawaona jamani.
 
Mwanaume wa Dar akifanya matengenezo ya umeme![emoji116][emoji53][emoji53][emoji53]
f99f4d6aa6dc11d1552572b072c9b272.jpg
 
Wanaume wa mikoan wivu na umaskini wa akili ndo unawasumbua, ndo maana mkija mjini mnaishia ku......... , ongezeni bidii ya kilimo ila mazoa tofaut tofaut yaongezeke kwenye jiji letu ili, pia dada zenu tunawanyoosha kupitia uji uo uo tunaokunywa

Note: ugali unachangia sana kudumuza akili
 
Wakienda gengeni kununua matunda hadi ndizi wanataomba kumenyewa.
Mwanaume wa Dar akifanya matengenezo ya umeme![emoji116][emoji53][emoji53][emoji53]
f99f4d6aa6dc11d1552572b072c9b272.jpg
Matusi haya...
Mtakuwa walaini laini mkule dona jaman ndio mana wa mikoani wanawatukana
Rafiki ww upo timu ya wanaume wa mkoani?
Yaani wa Dalisalama huwa nawashangaa sana

Utawakuta wanapenda maonesho na dada zetu kule posta....haaa cha ajabu baadhi yao nao ni chakula! Na rangi za ngozi wamebreach pia sauti wanaongelea puani


Mungu anawaona jamani.
Huyu atakua Castr hua anapigwa na NAHUJA
 
Back
Top Bottom