Jamaa alimkimbia mkuu😂😂😂
Ndipo akaotokea malaika akamwambia usimkimbie maria mkeo! Hiyo mimba ni kwa uwezo wa roho mtakatifu lkn kama ingekuwa kimya kimya jamaa alikuwa kashatembea MITA.
Yaani sahwwaaaaaaaaaah
Mathayo 1:19-20 Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri.
Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.