Maajabu ya Corona Tanzania: Badala ya Madaktari Bingwa wa tiba kuliokoa Taifa, ni Bingwa wa Kemia ndiye analiokoa Taifa kwa ushauri wa kikemia

Maajabu ya Corona Tanzania: Badala ya Madaktari Bingwa wa tiba kuliokoa Taifa, ni Bingwa wa Kemia ndiye analiokoa Taifa kwa ushauri wa kikemia

Jidula,
Hebu tujuze Ni nin
Mkuu huyu Profesa alianza vizuri tu kuonya juu ya athari za kuambukizana na kusambaa COVID19.
Next, baada ya interview yake ya kuonyesha walioambukizwa na vifo Afrika Nzima(wallikuwa 200 na vifo4 wakati huo, Afrika nzima), huo ukawa mwisho wa kumsikia.

Next tukasikia kuwa pamekuwa na "reshuffle ya kawaida" ya Idara pae Muhimbili.
Hatukumsikia tena!

Tukaendelea na mama Ummy na taarifa zake za kawaida kuwa maambukizi ni machache na vifo ni vitatu vinne.
Tuliona wale wasafiri toka Tanga ambao walienda Zanzibar na kukutwa wana maambukizi-je , wameambukizwa vipi huko walikotoka?
Tunajua kuwa video zilianza kujitokeza za wananchi wnaofia nyumbani na kukutwa kuwa ni COVID19.
Ya TBC na mazishi ya Marini Hassan hatuna haja kuyaongeea.

Hapo sasa taharuki hata serikalini ikajitokeza.
Makonda anasema lake, na Ummy anasema lake!
Wanasiasa wasio na utaalam wowote wanaeleza wananchi juu ya kitu wasichokijua-COVID19.
Hapa ndipo tulipo sasa , nafikiri sasa tunajua tulipoteza muda mzuri sana wa kuwatayarisha wananchi kimkakati na kisaikolojia jinsi ya kuukabili ugonjwa huu.
 
Kwamba uchemshe pua na maji C 100

Hii hotuba Dah nimefikiria mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda sijui maana ya kujifukiza!!

kwa ufupi tu , kuna watu wanafanya sana hii kitu huko vijijini ,si jambo geni ila wewe unalazimisha iwe kuunguza pua na mdomo, kwa wale waliowahi kwenda kwa waganga wataelewa hii kitu;

kuna magonjwa yakikutokea then ukapelekwa kwa tiba mbadala wazee wetu wanajua hii kitu maji ya moto huchemshwa na dawa huchanganywa then wanachukua shuka wanakufukiza ukitoka hapo ndg mwili wote umelowa, ni balaaa hii kitu unatoka mwili mzima unatoka maji koz ya ule mvuke

pia nilimsikiliza Dokta mmoja alisema watu watumie tu tiba mbadala kwani hakuna kitakachopungua, hata kula matunda wanakula na tangawizi nikimsikia dokta akihojiwa na BBC, ambaye aliugua pia


so nadhani labda tuangalie sababu nyingine ila kwa hoja ya kujifukiza siyo ngeni, shida ni nyie mliokulia Uswazi,maeneo ya Kinondoni, Mikocheni na kukutana na makanisa kila kona ,kwa waliokulia mwendakukima ,mwakkipolya nk nk wanajua na huenda wameshangaa comment yako maana kwao ndo makanisa yao aise!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyu Profesa alianza vizuri tu kuonya juu ya athari za kuambukizana na kusambaa COVID19.
Next, baada ya interview yake ya kuonyesha walioambukizwa na vifo Afrika Nzima(wallikuwa 200 na vifo4 wakati huo, Afrika nzima), huo ukawa mwisho wa kumsikia na akapigwa pini.

Next tukasikia kuwa pamekuwa na "reshuffle ya kawaida" ya Idara pae Muhimbili.
Hatukumsikia tena!

Tukaendelea na mama Ummy na taarifa zake za kawaida kuwa maambukizi ni machache na vifo ni vitatu vinne.
Tuliona wale wasafiri toka Tanga ambao walienda Zanzibar na kukutwa wana maambukizi-je , wameambukizwa vipi huko walikotoka?
Tunajua kuwa video zilianza kujitokeza za wananchi wnaofia nyumbani na kukutwa kuwa ni COVID19.
Hapo sasa taharuki hata serikalini ikajitokeza.
Makonda anasema laku, na Ummy anasema lake!
Wanasiasa wasio na utaalam wowote wanaeleza wananchi juu ya kitu wasichokijua-COVID19.
Hapa ndipo tulipo sasa , nafikiri sasa tunajua tulipoteza muda mzuri sana wa kuwatayarisha wananchi kimkakati na kisaikolojia jinsi ya kuukabili ugonjwa huu.

Uko sahihi kabisaaaa! Naona baada ya reshuffle Muhimbili akajitokeza MSEMAJI MPYA WA SERIKALI Bw. Paul Makonda:
Nyunyuzia(Fumigate) Dar City kuua Virusi vya Corona.....Bodaboda ziingie Katikati ya Jiji kubeba abiria....Kila mkazi wa Dar avae Barakoa...mwenye khanga,kitenge, handkerchief avae kuzuia maambukizi....n.k.
 
Saharavoice,
I beg to differ with you.
Unaposema kuna wenzetu huko Ulaya Wana experience ya kutumia huu UFUKIZAJI, MCHANGANYIKO WA LIMAU, TANGAWIZI NA MAJI MOTO naona unapotosha.
Sina Hakika ni ULAYA ipi unayo izungumzia! Covid-19 imeanzia Wuhan-China na ikasambaa dunia nzima mpaka Ulaya, Asia na sasa Africa. Je, unataka kuniambia kuwa kote huko Ulaya, Asia na America waliko kufa kwa makumi maelfu hawana hiyo akili ya kutumia hayo majimoto yanayochemka, tangawizi, malimau, ndimu n.k.?
Karibu.
Kuna dokta akihojiwa bbc mkuu alisema hii kitu ,sema clip nimeshindwa kuiweka humu, yule dokta alikuwa ameumwa korona ila alikuwa anatumia vitu hvyo mkuu tusiwe wabishi ushaidi upo wa wataalaum ,jana pia Dokta mmoja kaongea bungeni plus tibaijuka nadhani kama hivi vitu havina madhara tutumie tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasahau alituambia Tanzania ni nchi tajiri. Leo analia tufutiwe madeni. Watu wasikae karantine kisa hakuna pesa za kuwahudumia.
Na mda huo watu wanaichangia serekali hela inaenda wapi, sababu Ile michango sehemu yake ndo ingetakiwa ihudumie watu walioko quarantine
 
Wakati wanasayansi duniani wakihangaika kupata chanjo na tiba ya virusi vya corona, rais wa Madagascar Andry Rajoelina amezindua dawa ya mitishamba ''inayotibu'' Covid-19 .

Hata hivyo Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema kuwa hakuna ushahidi wa tiba ya Covid-19 baada ya Bwana Rajoelina kutangaza dawa yake.

Taasisi ya taifa ya tiba nchini Madagascar (Anamem) pia imeonyesha wasiwasi wake juu ya ufanisi wa dawa hiyo inayoelezewa na rais Andry Rajoelina kama yenye uwezo wa kuzuwia na kupona corona.

Taasisi hiyo imesema kuwa mitishamba inaweza kudhuru afya ya mtu kwani "hakuna ushahidi wa ufanisi wake kisayansi".

Mmea huo unatarajiwa kutolewa bure kwa watu wenye uwezekano mkubwa wa kuathiriwa na na virusi vya corona.

Ikizinduliwa kwa jina Covid-Organics, dawa hiyo imetengenezwa kutoka kwa mmea artemisia (pakanga)-ambao ni mojawapo ya miti ambayo huchanganywa pamoja na mimea mingine ya Madagascar kama tiba ya ugonjwa wa Malaria.

Dawa hiyo ambayo imepakiwa kwenye chupa na kutangazwa kama chai ya miti shamba baada ya kujaribiwa kwa watu chini ya 20 kwa kipindi cha wiki tatu, katibu wa rais Lova Hasinirina Ranoromaro ameiambia BBC.

"Vipimo vimefanyika-watu wawili wamekwishapona kutokana na tiba hii," Bwana Rajoelina alisema katika uzinduzi wa Covid-Organics uliofanyika katika taasisi ya utafiti ya Madagascar- Malagasy Institute of Applied Research (Imra), abayo ndiyo iliyotengeneza dawa hiyo ya mitishamba.

"Kinywaji cha dawa hii ya mitishamba huonesha matokeo katika kipindi siku saba," alisema rais huyo mwenye umri wa miaka 45, ambaye aliwataka watu kuitumia kama hatua ya kujikinga na ugonjwa wa corona.

"Watoto wa shule wanapaswa kupewa kinywaji ... kidogo kidogo kwa siku nzima," aliwaambia mabalozi na watu wengine waliokua wamekusanyika kwa ajili ya uzinduzi wa kinywaji hicho.

Dkt Charles Andrianjara, Mkurugenzi mkuu wa taasisi ya utafiti ya Imra, anaafiki kuwa Covid-Organics inapaswa kutumiwa kama kinga.

Lakini alijihadhari zaidi kuzungumzia zaidi juu ya matumizi ya dawa hiyo kama tiba, lakini akasema kwamba uchunguzi wa kimatibabu umeonyesha "dalili ya ufanisi wake kama tiba", shirika la habari la AFP lilimnukuu akisema.

Kisiwa hicho cha Bahari ya Hindi kimekwisharekodi hadi sasa wagonjwa 121 wa virusi vya corona, na hakuna vifo kutokana na ugonjwa huo.

Chanzo: BBC Swahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Hii vita ya Corona Tanzania inakumbana na twists and turns za ajabu ajabu!, kwa vile huu ni mlipuko wa ugonjwa, ilitegemewa madaktari Bingwa ndio wangekuwa wakombozi wa taifa letu kwenye janga hili, lakini kwa Tanzania ni maajabu matupu, badala ya Madaktari Bingwa wa Tiba! kuwa wakombozi wa taifa letu, Mkombozi wa kweli wa taifa letu kwenye hii vita ya Corona ni Bingwa wa Kemia, ndiye ametoa ushauri bora kabisa wa Kikemia wa namna bora ya kuikabiliana na janga hili la Corona ili kushinda vita hii.

Je, bingwa huyu wa Kemia ni nani na ametoa ushauri gani?
Andamana nami.
1. Background, Professionalism
Tangu kuanza kwa janga hili la Corona, mimi kama Mtanzania Mzalendo nimeshiriki kikamilifu katika vita hii kikamilifu katika maeneo 5
  1. Kama Mtanzania tuu wa kawaida
  2. Kama Mwana jf
  3. Kama mwandishi wa habari mzoefu
  4. Kama mtangazaji wa TV Nguli
  5. Kama mtu mwenye exposure.
Hivyo kwenye hayo maendeleo 5 nimeshiri kwa kutoa maoni mbalimbali, miongoni mwake ni ule ushauri wangu wa mwanzo kuwa zipo wizara zinaweza kuongozwa na Waziri mwanasiasa yoyote, lakini kuna wizara zinazo deal na technical issues, zinapaswa kuongozwa na ma professionals. Moja ya wizara ya Afya, ilipaswa kuongozwa na daktari bingwa na sio a layman kwenye medical field.

Tulipoanza tuu ile siku Waziri wa Afya akiwa daktari Bingwa kwa jina la Janet akizungumzia kuvaa face mask, daktari huyo akiwa mbele ya Waziri wa Afya alisema face mask zitavaliwa na madaktari tuu wanaohudumia wagonjwa. Nikapandisha bandiko humu na kusema it's not right kwasababu kama inachukua siku 14 kuibaini Corona kwa aliyeambukizwa, how will one knows hivyo to be on a safe side ni watu wote wavae facemasks kama China. Waziri angekuwa daktari pale pale angejua.
Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best! - JamiiForums

2. Mazungumzo na Naibu Waziri wa Afya
Kuna siku nimezungumza na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndugulile, kama ilivyo kawaida yangu, mimi huwa nina maswali magumu. Miongoni mwa maswali niliyomuuliza Dr. Ndugulile ni swali la kwa vile Corona haina dawa, jee anaweza kueleza hao wagonjwa kwenye vituo vya matibabu wanafanywa nini au wana hudumiwa huduma gani ili Watanzania wenye uwezo waweze kuwahudumia wagonjwa wao ambao hawajazidiwa ili kuzuia hospitali zisielemewe. Dr. Alinigomea!.

Kisha nikamuuliza kwa vile Corona ni mafua, kwanini Wizara ya Afya isihamasishe alternative medicine ya watu kujitibu ili wengine wamalizane nayo juu kwa juu bila kuisumbua serikali na kupelekwa vituo vya huduma?.

Pia swali hili alinigomea na kusisitiza kila mwenye dalili aripotiwe.

Kwa kutumia uzoefu wangu wa exposure, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndugulile alikuwa ana majibu yote tena ya kidakitari, lakini kwa vile yeye sio Msemaji rasmi, Msemaji rasmi ni Waziri wake, na Waziri sio daktari, Dr. Ndugulile aliogopa kusema akapishana na Waziri wake, lakini Waziri wa Afya angekuwa ni daktari Bingwa, Dr. Ndugulile angezungumza.
Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV - JamiiForums
Star TV: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Wazuri wa Afya Dr. Faustine Ndungulile, Wanazungumzia Corona - JamiiForums

3. Bingwa wa Kemia Aingilia Kati
Hayo maswali mawili magumu niliyo muuliza Naibu Waziri wa Afya Dr. Faustine Ndugulile ambayo yalitakiwa kujibiwa na madaktari Bingwa wa tiba, leo yamepatiwa majibu badala ya kupatiwa majibu na madaktari Bingwa wa tiba, kitu cha ajabu sana kuhusu mapambano dhidi ya janga la Corona nchini Tanzania, maswali hayo yamepatiwa majibu na Bingwa wa Kemia.

Tanzania tulizoea viongozi wetu wakuu wa kisiasa huwa ni wanasiasa, hivyo ulipo tokea Bingwa wa Kemia alipoutaka urais, kiukweli kuna watu humu tulimshangaa!, tangu lini Bingwa wa Kemia akawa kiongozi wa siasa kuwa mkuu wa nchi?.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums

4.
Bingwa wa Kemia ametoa ushauri wa Kikemia kuwa vurusi vimeumbwa cells za protein in nature na kuzungukwa fatty acid hivyo vinayeyushwa au kwa kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka au sanitizers ambazo kikemia ni alcohol ambazo zinawayeyusha kwa kuyasaga mafuta au mvuke wa nyuzi joto kubwa una destroy protein in nature inakuwa destroyed by heat.

Bingwa wa Kemia amewataka Watanzania kuendelea kufuata maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia kuenea kwa virusi vya Corona ila pia na kutumia tiba mbalimbali za asili na tiba mbadala kupambana na Corona kwa kunywa tangawizi, vitunguu swaumu, au hata kujifukiza, vitu ambavyo Watanzania walipaswa kufundishwa na madaktari Bingwa wa tiba, badala yake sasa ni Bingwa wa Kemia ndio amekuwa mkombozi wa taifa letu katika vita hii dhidi ya Corona.

Ushauri huu wa Bingwa wa Kemia ndio ukombozi wa Taifa letu dhidi ya janga la Corona, kwasababu naamini kuna wengi wameugua Corona na wakajitibia kwa njia za asili na tiba mbadala na wakapona, hivyo kama kila Mtanzania akiona tuu dalili kwa mbali akaanza na huduma ya kwanza ya homeopathy treatment kwa kutumia natural remedies na treatments na alternative medicine tunaweza kuliokoa taifa letu zaidi kuliko kuwategemea hawa madaktari Bingwa wetu wa tiba za kisasa mahospitalini ambao ni mabubu huku mabingwa wa Kemia ndio wakilisaidia taifa!.

Mpaka hapa nilipofikia, bado kuna haja ya mimi kumtaja huyu bingwa wa Kemia?

Asanteni

Paskali
Nadhani jana alikuwa amevuta cha Meru na kimekolea maana hiyo confusion ya speech yake si bure
 
Wanabodi,

Hii vita ya Corona Tanzania inakumbana na twists and turns za ajabu ajabu!, kwa vile huu ni mlipuko wa ugonjwa, ilitegemewa madaktari Bingwa ndio wangekuwa wakombozi wa taifa letu kwenye janga hili, lakini kwa Tanzania ni maajabu matupu, badala ya Madaktari Bingwa wa Tiba! kuwa wakombozi wa taifa letu, Mkombozi wa kweli wa taifa letu kwenye hii vita ya Corona ni Bingwa wa Kemia, ndiye ametoa ushauri bora kabisa wa Kikemia wa namna bora ya kuikabiliana na janga hili la Corona ili kushinda vita hii.

Je, bingwa huyu wa Kemia ni nani na ametoa ushauri gani?
Andamana nami.
1. Background, Professionalism
Tangu kuanza kwa janga hili la Corona, mimi kama Mtanzania Mzalendo nimeshiriki kikamilifu katika vita hii kikamilifu katika maeneo 5
  1. Kama Mtanzania tuu wa kawaida
  2. Kama Mwana jf
  3. Kama mwandishi wa habari mzoefu
  4. Kama mtangazaji wa TV Nguli
  5. Kama mtu mwenye exposure.
Hivyo kwenye hayo maendeleo 5 nimeshiri kwa kutoa maoni mbalimbali, miongoni mwake ni ule ushauri wangu wa mwanzo kuwa zipo wizara zinaweza kuongozwa na Waziri mwanasiasa yoyote, lakini kuna wizara zinazo deal na technical issues, zinapaswa kuongozwa na ma professionals. Moja ya wizara ya Afya, ilipaswa kuongozwa na daktari bingwa na sio a layman kwenye medical field.

Tulipoanza tuu ile siku Waziri wa Afya akiwa daktari Bingwa kwa jina la Janet akizungumzia kuvaa face mask, daktari huyo akiwa mbele ya Waziri wa Afya alisema face mask zitavaliwa na madaktari tuu wanaohudumia wagonjwa. Nikapandisha bandiko humu na kusema it's not right kwasababu kama inachukua siku 14 kuibaini Corona kwa aliyeambukizwa, how will one knows hivyo to be on a safe side ni watu wote wavae facemasks kama China. Waziri angekuwa daktari pale pale angejua.
Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best! - JamiiForums

2. Mazungumzo na Naibu Waziri wa Afya
Kuna siku nimezungumza na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndugulile, kama ilivyo kawaida yangu, mimi huwa nina maswali magumu. Miongoni mwa maswali niliyomuuliza Dr. Ndugulile ni swali la kwa vile Corona haina dawa, jee anaweza kueleza hao wagonjwa kwenye vituo vya matibabu wanafanywa nini au wana hudumiwa huduma gani ili Watanzania wenye uwezo waweze kuwahudumia wagonjwa wao ambao hawajazidiwa ili kuzuia hospitali zisielemewe. Dr. Alinigomea!.

Kisha nikamuuliza kwa vile Corona ni mafua, kwanini Wizara ya Afya isihamasishe alternative medicine ya watu kujitibu ili wengine wamalizane nayo juu kwa juu bila kuisumbua serikali na kupelekwa vituo vya huduma?.

Pia swali hili alinigomea na kusisitiza kila mwenye dalili aripotiwe.

Kwa kutumia uzoefu wangu wa exposure, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndugulile alikuwa ana majibu yote tena ya kidakitari, lakini kwa vile yeye sio Msemaji rasmi, Msemaji rasmi ni Waziri wake, na Waziri sio daktari, Dr. Ndugulile aliogopa kusema akapishana na Waziri wake, lakini Waziri wa Afya angekuwa ni daktari Bingwa, Dr. Ndugulile angezungumza.
Vita Janga la Corona: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas, Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndungulile, kesho watakuwa live JLNH-Star TV - JamiiForums
Star TV: Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas na Naibu Wazuri wa Afya Dr. Faustine Ndungulile, Wanazungumzia Corona - JamiiForums

3. Bingwa wa Kemia Aingilia Kati
Hayo maswali mawili magumu niliyo muuliza Naibu Waziri wa Afya Dr. Faustine Ndugulile ambayo yalitakiwa kujibiwa na madaktari Bingwa wa tiba, leo yamepatiwa majibu badala ya kupatiwa majibu na madaktari Bingwa wa tiba, kitu cha ajabu sana kuhusu mapambano dhidi ya janga la Corona nchini Tanzania, maswali hayo yamepatiwa majibu na Bingwa wa Kemia.

Tanzania tulizoea viongozi wetu wakuu wa kisiasa huwa ni wanasiasa, hivyo ulipo tokea Bingwa wa Kemia alipoutaka urais, kiukweli kuna watu humu tulimshangaa!, tangu lini Bingwa wa Kemia akawa kiongozi wa siasa kuwa mkuu wa nchi?.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums

4.
Bingwa wa Kemia ametoa ushauri wa Kikemia kuwa vurusi vimeumbwa cells za protein in nature na kuzungukwa fatty acid hivyo vinayeyushwa au kwa kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka au sanitizers ambazo kikemia ni alcohol ambazo zinawayeyusha kwa kuyasaga mafuta au mvuke wa nyuzi joto kubwa una destroy protein in nature inakuwa destroyed by heat.

Bingwa wa Kemia amewataka Watanzania kuendelea kufuata maelekezo ya kitaalamu ya kuzuia kuenea kwa virusi vya Corona ila pia na kutumia tiba mbalimbali za asili na tiba mbadala kupambana na Corona kwa kunywa tangawizi, vitunguu swaumu, au hata kujifukiza, vitu ambavyo Watanzania walipaswa kufundishwa na madaktari Bingwa wa tiba, badala yake sasa ni Bingwa wa Kemia ndio amekuwa mkombozi wa taifa letu katika vita hii dhidi ya Corona.

Ushauri huu wa Bingwa wa Kemia ndio ukombozi wa Taifa letu dhidi ya janga la Corona, kwasababu naamini kuna wengi wameugua Corona na wakajitibia kwa njia za asili na tiba mbadala na wakapona, hivyo kama kila Mtanzania akiona tuu dalili kwa mbali akaanza na huduma ya kwanza ya homeopathy treatment kwa kutumia natural remedies na treatments na alternative medicine tunaweza kuliokoa taifa letu zaidi kuliko kuwategemea hawa madaktari Bingwa wetu wa tiba za kisasa mahospitalini ambao ni mabubu huku mabingwa wa Kemia ndio wakilisaidia taifa!.

Mpaka hapa nilipofikia, bado kuna haja ya mimi kumtaja huyu bingwa wa Kemia?

Asanteni

Paskali
Tunaelekea kubaya mkuu
Ila huyu ndugu yako anakotupeleka sijui ni wapi, nahisi tumeishapotea njia
 
Umenikumbusha maneno ya Mzee Kingunge Ngombare Mwiru(rip) wakti wa kampeni za Urahisi 2015!
Alisema, nanukuu:.,.."Huyu John Pombe Magufuli hastahili KUPEWA URAIS BAALI ANATAKIWA AENDELEE KUWA MNYAPARA WA KUSIMAMIA BARABARA NA MADARAJA TU! Ndiyo kazi anazoweza kuzimudu" Mwisho wa kunukuu!
Hii Jamii yafaa Sana kwenye kazi za nguvu nguvu tu huku kwenye reasoning huwa inachemka Sana by research by experience.Sio kila tingo ni dereva.
 
Jibu maswali yafuatauo:
  1. Je,umeshawahi kujifukiza na maji ya Moto yanayochemka kwa joto la nyuzi 100 Celcius?
  2. Je,umeshawahi kunyonyoa kuku kwa maji ya Moto yanayochemka?
Ukinipa hayo majibu 2 njoo tuendeleze hii hoja mfu ya kujifukiza! Kwa kifupi ni hoja ya kipuuzi na ulaghai mtupu!
Virusi vishaingia mwilini huo mfuke hivo virusi vinayeyuka vipi Sasa hapo ni sawa na kutumia sanitizer kuuwa virusi vilivoingia mwilini
 
Mm sikatai kwamba haiui, lkn nahitaji ufafanuzi wa kisayansi.
Labda kuna madaktari wanifafanulie.
Hii ya sabuni hata mfamasia anaweza kukueleza. Lakini hata mimi ambaye si mtalaam kama kunawa kwa kutumia chlorine kunaua virus kwa nini uk fumigate na hiyo chlorine isiue. Halafu sio sisi tu tunaofanya furmigation kwenye vyombo vya usafiri au kuwanyunyisia wale watu wa
Mm sikatai kwamba haiui, lkn nahitaji ufafanuzi wa kisayansi.
Labda kuna madaktari wanifafanulie.
1587629194269.png
1587629240125.png
1587629269971.png
1587629299771.png
 

Attachments

  • 1587628943263.png
    1587628943263.png
    138.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom