Maajabu ya Corona Tanzania: Badala ya Madaktari Bingwa wa tiba kuliokoa Taifa, ni Bingwa wa Kemia ndiye analiokoa Taifa kwa ushauri wa kikemia

Pascal please, bingwa wa kemia anakuja na strategy za facebook kupambana na gonjwa hili hatari while him self is on hide. In cell biology study conclude inhaling steam will never be a cure for novel corona virus.
Below is an answer of the same question yaliotolewa na wataalamu:

Dr. Jason McKnight, Assistant Clinical Professor in the Department of Primary Care and Population Health at Texas A&M University, aliulizwa juu ya utumiaji wa mvuke dhidi ya corona virus alijibu hivi:

In general, people may find that inhaling steam during any sort of respiratory illness helps with their symptoms, such as cough, nasal congestion and chest congestion. However, this is only symptomatic relief and it is not a treatment for any viral infection,

And “you have the potential to cause real harm to yourself through burns from the heated water vapor to your eyes, face and airways, which if severe enough could cause serious and long-term complications.

Vilevile Dr. Benjamin Neuman, an expert in coronaviruses who chairs the Biological Sciences department at Texas A&M University-Texarkana, amesema, The lungs are delicate, and steam is very hot -- not a good mix. Hot steam can and does damage the lungs, and the idea that it could fight a virus that also damages the lungs is just really bad advice

Professor of cell biology at the University California, Riverside Dr. Karine Le Roch amejibu, I really don’t think that inhaling steam will treat or cure the infection.”

A study published by the Spanish Pediatrics Association notes: "It is apparent that regardless of how SIT [Steam Inhalation Therapy] is applied it carries a risk of burn injury. The usual technique of covering the head with a towel over a pan filled with hot water is dangerous due to the steam, the hot liquid, or even potential contact with the container.

The American Burn Association explains, "Hot water will burn skin at temperatures much lower than boiling point (212°F/100°C). In fact, it only takes 3 seconds of exposure to 140°F/60°C

These posts claim that inhalation of steam from boiling water, sometimes with various infused ingredients, will kill the coronavirus. This is false. While it may help ease symptoms like congestion, steam inhalation also carries the risks of burns.
 


Mm nkadhani huko duniani wenzetu wana dawa yao wanayopulizia tofauti na chlorine labda ndo maana ndugu akawa mkali?

kama na wao wanatumia chlorine huyu ndugu hii notions yeye kaitoa wapi au nani huyo aliemshauri hivo?
 
Wewe umejifungia ndani au uko mitaani kutafuta riziki? Kama umejifungia ndani tupe mrejesho wa maisha yako yalivyo. La, usikurupuke na nadharia za hisia yako. Kaa kimya.

Nchi gani duniani imefaidika na "lockdown" zaidi ya kusambaratisha jamii na uchumi!
 
Huyo mkemia ndo analiangamiza taifa kwa kutopenda ushauri.
Paskal kuna siku humu jf nusu tutakuwa hatupo,
Wacheni utani na hili janga
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paskali, kwa vile wewe ni bingwa wa kuuliza maswali, ungetusaidia kama ungechukua mmda kidogo kumtafuta bingwa wa bialojia ashauri kama uso wa binadamu unaweza kuvumilia mvuke wa 100c
 
Hizi makala zako unaandika ukiwa ofisini au umejifungia kwako na familia yako?
 
Mkemia unayetuaminisha unaendelea kummwagia yaliyooza
Bro huyu utakuja kujitetea baadae
Mkemia alituambia ana pesa ya kuendesha nchi kwa miezi 6,si kwamba hatukuona uongo wake
Amewaza lockdown haitawezekana hata kwa wiki maana anajua janga la uchumi kwetu corona itaomba poo
Kuvishukuru vyombo vya ulinzi jana ni kuishiwa na matumaini
Tulihitaji kikosi kazi cha janga la corona kije na mkakati wa kitaifa

Mkemia tunamwelewa kwa kujitengenezea kiki
Hakuna ambae hakushangaa yule aliyetumwa aseme kujifukiza sio njia sahihi
Baada ya nusu saa anakuja mtu kujifukiza ni njia yetu ya asili
Wajuzi wa fitina uchwara walishaliona

Mkemia uone hatatufikisha popote,kama alisema watu wajifukize,mbona hakuongelea walio hospital ili waone wanapata huduma bora?

Unajichumia dhambi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Bwana Paskali can you real in breath steam / air at 100 degrees centigrade???? What about the fate of your lungs and soft internal nose linings???? Other internal organs which are not for such elevated temperatures????
 
Nimekumbuka aina za kupika chakula nlipokua primary
1.kupika kwa mvuke
2. Kupika kwa moto
3......nimesahau......

Nyuzi joto 100 nakataa mtu anaiva kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kwaT anzania yalikuwa hayasemwa hadharani - sual la best sanitizer kuwa na at least 60% alcohol liko kwenye mitandao siku nyingi na ndilo lilisababisha gongo Uganda ikaadimika.
Sual la kutumia joto, lilisemwa siku nyingi sema tu waliolisema hawakuwa na nafasi ya kusikilizwa na audience kubwa. Hata yule mbunge Anna Tibaijuka alilizungumza bungeni mpaka akalalamika watu kufungiwa kusafirisha mkaa! Kwa vile bunge siyo live - ni wachache waliomsikia kwenye youtube; watu wa Kagera huiita Embiranyungu!
Hata Museveni amelizungumza juzi,
Suala la maji ya sabuni kumeng'enya koti la corona virus, nakumbuka padri mmoja alilifafanua vizuri jumapili iliyopita.
La muhimu - kwa kuwa sasa yamezungumzwa na mkuu wa nchi, basi tuyatangazwe bila kuogopa
 
Kaka Pascal Mimi napendaga Sana kusoma makala zako humu jf. Nimesoma hoja yako hapo juu lkn kupitia ulivyoandika nimepata swali la kukuuliza.

Je wakati mheshimiwa Rais anateua Baraza la mawaziri vip nyie waandishi wa habari mliwahi kuuhabarisha umma kuhusu uteuzi wa sekta nyeti ubase kwenye proffessiolism ?

Au mnasubiri outcome ndo muanze Kupost habari za kulaumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kwaT anzania yalikuwa hayasemwa hadharani - sual la best sanitizer kuwa na at least 60% alcohol liko kwenye mitandao siku nyingi na ndilo lilisababisha gongo Uganda ikaadimika.
Sual la kutumia joto, lilisemwa siku nyingi sema tu waliolisema hawakuwa na nafasi ya kusikilizwa na audience kubwa. Hata yule mbunge Anna Tibaijuka alilizungumza bungeni mpaka akalalamika watu kufungiwa kusafirisha mkaa! Kwa vile bunge siyo live - ni wachache waliomsikia kwenye youtube; watu wa Kagera huiita Embiranyungu!
Hata Museveni amelizungumza juzi,
Suala la maji ya sabuni kumeng'enya koti la corona virus, nakumbuka padri mmoja alilifafanua vizuri jumapili iliyopita.
La muhimu - kwa kuwa sasa yamezungumzwa na mkuu wa nchi, basi tuyatangazwe bila kuogopa
 
Magufuli ni tatizo kwa nchi yetu. Hafai wala hajui anachoongea, waziri msaidizi wa afya alishapinga haya mambo ya kujifukiza kwa sababu maji ya moto ya zaidi ya centigrade 100 yanaharibu (yanaunguza) mfumo wa hewa. Sasa huyu rais analeta uongo wake, anataka watu waendelee kufa. Huyo Magufuli ni tatizo......tena tatizo kubwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…