Maajabu ya Corona Tanzania: Badala ya Madaktari Bingwa wa tiba kuliokoa Taifa, ni Bingwa wa Kemia ndiye analiokoa Taifa kwa ushauri wa kikemia

Huyu maji ya kufukiza , huyu amfifiro , mwingine tangawizi na vitunguu swaumu.. corona itajua haijui
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamani nimepitwa na hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ningecheka balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niliposikia ana waambia madaktari waseme ukweli sikutaka kujua ukweli wa nini nikafungua JF ndio basi tena kuanzia Leo hotuba nitakuwa nazisoma JF basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think kuna Intel kuhusu issue ya Corona -@Patrick Mayalla

Hapa nazungumza kikubwa ,kuna siri fulani duniani kuhusu hii issue ya Corona ,nyie watu wa investigation Journalism tusaidieni
 
Seriously?!?!? Ameokoa Taifa?!?!
AU unataka uteuzi?!?!
Yaani kwa kukaa Chato mwezi mzima na kuja kusema alivyoviongea ni kuokoa Taifa.
Wafanyakazi wa sekta ya afya wanaambukizwa na baadhi wanafariki we unakuja kusema eti ameokoa Taifa?!?!!
Sawa anapenda kusifiwa ila usiwe hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Za chini ya kapeti ni kua wote walishiriki kwenye kunyunyizia dawa wiki kesho wanaanza kuojiwa na polisi na Takukuru; mjiandae.
Nawauliza swali watu walio karibu mh Rais; hotuba ya leo ameshauriwa au ameamua kujilipua tu (a.k.a Kujishauri).
Washauri wa rais mnaonaje mkikaa pembeni kwa ajili ya kupunguza gharama kama posho na mishahara make amna kazi mnayofanya sasa. Hotuba ya leo siyo maneno ya mtu mwenye washauri kuyaongea.

Utamsikia mtu anasema kwenye simu nafanya kazi Ikulu kitengo.....ujinga mtupu.
Lazima tukome kipindi hiki cha Corona; kuna mshauri wake kuhusu mambo ya Afya ameshatolewa na kutumwa wizara ya afya kuratibu anayotaka.
 

Kwani hukuwaona hawa wasemacho?
 

Attachments

  • VID_29890410_084939_288.mp4
    12.8 MB
Ndio Raha ya mtu kuingia darasani,ukiona mtoto wa masikini kafika top level jua anaweza(nitamchagua Tena mkemia),hakurupuki,anasynthesize data,reasoning,conclusion,baba magu shikamooooo,
Kuingia darasani ni tofauti na kuelimika jamaa Chereko tena. Wewe nawaonea huruma wazazi wako,ndugu zako na Tanzania kwa ujumla kwa hasara uliyonayo.
 
Kuingia darasani ni tofauti na kuelimika jamaa Chereko tena. Wewe nawaonea huruma wazazi wako,ndugu zako na Tanzania kwa ujumla kwa hasara uliyonayo.
Darasa unaelewa maana yake,🤣🤣,shusha uchambuzi wako ametumia elimu aliyoipata kutupatia na kutujengea Ari ya kupambana na korona sio ohhhh lockdown ujinga mtupu wakati Hali za wtz hamzijui acheni rais wa wanyonge aendelee kututumikia,ndio maana hata nafasi ya dini katika jamii mmeshindwa kuitambua
 
100 Celsius huu ni uuaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…