Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHALII, ACHA HIZOMnaishi wapi? Mimi niko Geita mwaka wa tatu sijaona umeme ukikatika.
Wapuuzi watasema eti pongezi kwa mfu.
Dada huku kwetu siku ya kumi maji hakuna. Terrible! Nina kishamba pale Mwahako hayakatiki. Basi mna bahati! habar za siku dada.kak ake mimi nakoishi maji yanatoka japo hayana nguvu lakini yanatoka
NO water! Umeme naona leo upo, ngoja nimalizie sentensi hii maana hauaminikiTanga Kunani Pale
nzuri sie tupo line kubwa inayoelekea kwa marehem mwapachu hivo maji hayakatiki ni kupungua nguvu tu nilikua mwaminji juzi niliona watu wanateseka na ndoo za majDada huku kwetu siku ya kumi maji hakuna. Terrible! Nina kishamba pale Mwahako hayakatiki. Basi mna bahati! habar za siku dada.
Basi uswazi kote hakuna maji. At least umeme jana na leo bado upo!nzuri sie tupo line kubwa inayoelekea kwa marehem mwapachu hivo maji hayakatiki ni kupungua nguvu tu nilikua mwaminji juzi niliona watu wanateseka na ndoo za maj
Kuna marekebisho makubwa yanafanyika kwenye line ya Chalinze - Hale..hali inayopelekea umeme kuwa mdogo na kushindwa kusukuma maji kutoka mabayani kuja Tanga..wako site wanashughulikia..tuwe na Subra.Sasa ni saa 48 umeme haujakatika hata fraction of a second! Haijawahi tokea !
Maji leo ni siku ya kumi hakuna hata tone! Ngoja tuombe maajabu yatokee na huku kwenye maji.
asante mshuza, but are you sure? Maji ya Tanga mjini yana uhusiano gani na Chalinze? Maji ya Tanga yanatoka Amani! milima ya amani Mbomole, Derema, mto Zigi etcKuna marekebisho makubwa yanafanyika kwenye line ya Chalinze - Hale..hali inayopelekea umeme kuwa mdogo na kushindwa kusukuma maji kutoka mabayani kuja Tanga..wako site wanashughulikia.
Yaani mkuu inshu ni umeme ndio unaosukuma zile mota zinazoleta maji Tanga..sasa umeme unaopatikana ni mdogo kutokana na marekebisho hayo..kwahyo maji pia yanatoka machache kwa mgao..asante mshuza, but are you sure? Maji ya Tanga mjini yana uhusiano gani na Chalinze? Maji ya Tanga yanatoka Amani! milima ya amani Mbomole, Derema, mto Zigi etc
Nimekupata sana , asante sana! Are you in Tanga? Line ya kwa Mwapachu mwambani yanatoka angalau kidogo. Huku uswahilini ni "mavi" kabisa!Yaani mkuu inshu ni umeme ndio unaosukuma zile mota zinazoleta maji Tanga..sasa umeme unaopatikana ni mdogo kutokana na marekebisho hayo..kwahyo maji pia yanatoka machache kwa mgao..
Yes tuko wote Tanga mkuu..Nimekupata sana , asante sana! Are you in Tanga? Line ya kwa Mwapachu mwambani yanatoka angalau kidogo. Huku uswahilini ni "mavi" kabisa!
Naona barabara ya tanga to Pangani imefika Mwangombe/Mwakidila. Tafuteni viwanja maeneo hayo maana mabasi ya Dar yatakuwa yanapitia njia hiyo kufupisha distance by 100 km from Tanga via Pangani , Saadani Bagamoyo to Dar!Yes tuko wote Tanga mkuu..
Hayo si maajabu, kama hakuna umeme na maji basi mna shida.Sasa ni saa 48 umeme haujakatika hata fraction of a second! Haijawahi tokea !
Maji leo ni siku ya kumi hakuna hata tone! Ngoja tuombe maajabu yatokee na huku kwenye maji.