Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duga ya Podoa? wadigo wanahitaji mageuzi sana! Wanachokiweza kwa nguvu zote ni "chuo". Mtot aende "Chuo"...mnisamehe siyo kuwa nafanya kama Chalamila.....Tanga Maendeleo Yanasua Sua sana. Mzunguko wa Pesa ni kidogo.... Umwinyi Bado no mwingi , mtu akimiliki Huoniao Anaona Ameshamaliza, Vijana Wote Huku ni Bodaboda na Abiria Wenyewe Hakuna.
Kuna Safari Ndefu sana ya Maendeleo ktk Huu mkoa Wangu
Loc : Duga Viwandani..... Siku sio nyingi Narudi DSM
2023 unakaa bila maji/umeme huu! halafu uuru miaka 62Hayo si maajabu, kama hakuna umeme na maji basi mna shida.
Aweso na makamba si wanatoka huko? Nini mbaya aiseeSasa ni saa 48 umeme haujakatika hata fraction of a second! Haijawahi tokea !
Maji leo ni siku ya kumi hakuna hata tone! Ngoja tuombe maajabu yatokee na huku kwenye maji.
Mnaishi wapi? Mimi niko Geita mwaka wa tatu sijaona umeme ukikatika.
Wapuuzi watasema eti pongezi kwa mfu.
wanajiweka sawa 2025, haya ya uswazi shauri zenuAweso na makamba si wanatoka huko? Nini mbaya aisee
Duga Ya Podoa huku huku sheikh karibu na Ray mark, udigo ume wa effect wakazi Wote wa mkoa huu, unakuta mtu ni kabila sio la huku kabisa Ila Ana Tabia za kidigo na kibondei.Duga ya Podoa? wadigo wanahitaji mageuzi sana! Wanachokiweza kwa nguvu zote ni "chuo". Mtot aende "Chuo"...mnisamehe siyo kuwa nafanya kama Chalamila.....
Mwapachu alikuwa anakaa mchukuuni karibu na ukumbi wa mikutano Tanga, mwahako ndani ndani, zamani kulikuwa vichaka, now wanajitahidi kupajenga. Wewe unakaa wapi? Tualikane madam mi Sina mambo dagaa msumari tu wanitoshanzuri sie tupo line kubwa inayoelekea kwa marehem mwapachu hivo maji hayakatiki ni kupungua nguvu tu nilikua mwaminji juzi niliona watu wanateseka na ndoo za maj
hahahahaha ila huku tangu majuzi umeme wa bwerere yan haujakatika hovyo maji tu ndio mtihano, hehehehehe yani dagaa msumar mpaka tuwafate sahare sasa huku ni bangara na bobwe au chafi vipi unakula??Mwapachu alikuwa anakaa mchukuuni karibu na ukumbi wa mikutano Tanga, mwahako ndani ndani, zamani kulikuwa vichaka, now wanajitahidi kupajenga. Wewe unakaa wapi? Tualikane madam mi Sina mambo dagaa msumari tu wanitosha
😂😂😂😂😂5years Nimekuja Tena This February Ila Hakuna Changes Zozote
Changes ni Very Minor
*Kuna Duka La Vunjabei Mkwakwani
* Azam Wamefunga Taa za Uwanja Wa Mkwakwani Kuna nguzo kubwa nnje ya Uwanja
*La Cassa Inaitwa The Dreamerz Bado pako vile vile lakini
Mambo Mengine Yako Vile vile. Mpaka vichochoro Bado havijabadilika. Na huku ni mjini nilitegemea kuona mabadiliko makubwa mengi. Sipati picha uko vijijini it's the same story, mentality za watu wa Tanga zinakwamisha mkoa
Kuna mtu nilimuuliza kwanini usije dar ukatafuta maisha kwasababu unalamika Tanga Hapaeleweki
Akanijibu" aaah ambiwa nnkakae dar Mimi? Dar sikuwezi Kuna vurugu , fujo nyingi na majigari mengi , sikupendi tu"
Hilo Jibu nilipata zaidi ya mtu mmoja
Kuna Safari Ndefu sana ya kuwakomboa kifikra Vijana wa huku.
umeme mwenyewe nikashangaa au swichi ya kuzimi haionekani mana haujakatika kabisaaa leo siku ya tatuBasi uswazi kote hakuna maji. At least umeme jana na leo bado upo!
ni kama mvua vile imenyesha kariakoo tandika hamna ndio hayo maji sehem yanatoka sehem hamna umeme upoHayo si maajabu, kama hakuna umeme na maji basi mna shida.
ooh wafanyr wamalize kuna watu wanateseka na maji ni either wakachote msikitini yale ya chumvi au waamke asbh asbh wayawahi kabla hayajakatikaKuna marekebisho makubwa yanafanyika kwenye line ya Chalinze - Hale..hali inayopelekea umeme kuwa mdogo na kushindwa kusukuma maji kutoka mabayani kuja Tanga..wako site wanashughulikia..tuwe na Subra.
Nimesema nisicheke ila nimeshindwa😆😆😆🤸♂️🤣🙌Mnaishi wapi? Mimi niko Geita mwaka wa tatu sijaona umeme ukikatika.
Wapuuzi watasema eti pongezi kwa mfu.
Wana ujuaji mwingi sana! kupitiliza. Kama siyo wa kabila lake hakuamini kabisa!Halafu roho mbaya, akiona una gari anaziba njia usipite badala ya na yeye kutafuta awe na gari/pikipki. Wanawake madela, atauza lolote apate hela ya dela la harusi/"shughuli" wanaita. harusi ni chai ya maandazi mawili na wali maharage, muziki siku tatu kwenye tent moja! Mnisamehe sana.. badilikeni.....Lakini ukiwaalika Regal Naivera, wanakuja usiombe!Duga Ya Podoa huku huku sheikh karibu na Ray mark, udigo ume wa effect wakazi Wote wa mkoa huu, unakuta mtu ni kabila sio la huku kabisa Ila Ana Tabia za kidigo na kibondei.
Wasambaa Nawakubali sana sio watu wa kubweteka na wanaskilizaga ushauri sio wajuaji Kama wadigo. Na ukiangalia Wana Maendeleo.
Big up kwa shehoza kaleta sheli karibu mitaa hii, niliondoka haikuwepo. Utajaribu kuona ni akina Nani Wana kiu ya Maendeleo. Mdigo akinunua dagaa msumari , dagaa bobwe wa Buku wanaopitishwa ktk makapu mtaani anaona maisha kayapatia sana. Natamani wangekuwa ni watu wa kutoka wakajionee mikoa mingine watu wanavyoishi....wangejifunza sana (wamekubali kujifungia inside the box tanga ) kusafiri hawataki.
Kwa kulalamika Sasa , we acha tu !
Madam uko sehemu gani wewe...Tanga kubwa hii..ooh wafanyr wamalize kuna watu wanateseka na maji ni either wakachote msikitini yale ya chumvi au waamke asbh asbh wayawahi kabla hayajakatika
Mimi imenichekeshaMbona haichekeshi umeandika ujinga tu
anonymity, aseme tena yuko wapi AKUPE CLUE! HAPANAMadam uko sehemu gani wewe...Tanga kubwa hii..