Maajabu ya dunia yapo Tanga, hakuna Umeme na Maji kwa muda mrefu sasa

Mimi hua natamani watu dizaini hiyo uwasombe na bus ukawamwage Njombe...njombe majority ni wachakarikaji mno mno esp wanawake...wakae walau mwezi waone watu wakule walivyo watafutaji...arggh
 
Mimi hua natamani watu dizaini hiyo uwasombe na bus ukawamwage Njombe...njombe majority ni wachakarikaji mno mno esp wanawake...wakae walau mwezi waone watu wakule walivyo watafutaji...arggh
Mke ni pambo la nyumbani, katu kazi kwao mwiko labda bisashara ya genge ya vyakula, mandazi, (vitafunio kwa ujumla). kazi za nguvu hawataki kabisa. Kuna mtoto ni mwanafunzi nikamwambia uwe unansaidia vikazi vidogo hapa shambani nakupa hela ya daftari etc. Akasema, rudia tena? mimi nilime? Hapo hapo anaiba mazao ya shambani kwangu kama limau (zinatumika sana kwenye kuondoa kuondoa shombo), machungwa na ndizi zangu mana siishi pale! Kisamvu chote wanakula wao!
 
Wana umwinyi🙌
 
Ukienda pale muheza pahovyo miaka nenda hakubadiliki
 
Vitoto vya huko Kaz umalay na hakuna maendeleo hovyo
 
Ukienda pale muheza pahovyo miaka nenda hakubadiliki
Karibu ule maembe ni msimu wake.

Muheza kuna shida ya maji sana kuna mitaa tangu nchi hii ipate uhuru hawajawahi kuona bomba la maji mtaani kwao, ni mwendo wa visima. tena mitaa ya mjini.
 
Tuwatendee haki Tanga UWASA. Tatizo la kupungua maji ni umeme usio na nguvu ya kutosha kuendesha pampu. Nasikia wametangaza kupitia radio na kuomba radhi. TANESCO kama wanakarabati line Chalinze- Hale(ref. Mshuza- jf member) nao wangefahamisha umma. Idara ya yao ya Mawasliano ipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…