balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Huyu kwako ni mwili mdogo siyoWale wana miili mikubwa siyo kama wetu.Kuna jamaa alirushiwa jezi na Joe Hart aliivaa ikampwaya.jamaa anakaa kinondoni hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shaqir ni kipande cha mtu na kajaa haswa ni kwa vile ni mfupi,Nitajie timu kubwa ulaya iliyojaa Giants....
Ukinitajia kina VVD, nitakutajia kina firmino, keita,Mane, Salah , Xhaqiri na wengineo ambao sio Giants...
Every General rule has exceptions.
Duh [emoji29] miaka inakimbia ilikuwa juzi tu leo miaka 15Leo ni Miaka 15 sasa, pumzika kwa amani Mwamba
Kweli kabisa,Ukitazama maumbo ya Wachezaji wa zamani na wa Sasa hivi utagundua kuna Tatizo kubwa sana siku hizi