Maajabu ya jiji la Kampala

Maduka kufunguliwa saa 12? Kwani dar inafanyaje? Dar panakesha
 
Border unaweza kutumia kitambulisho gani kuingia kama huna passport na inakua valid kwa muda gani ukiwa ndani ya Uganda.
 
Huenda boda boda wa huku nao wapo rafu katika uendeshaji pikipiki kama wa Bongo. Nimeshuhudia zikipuuzia kuzingatia taa za kuongozea magari. Ni tofauti na boda boda wa Kigali ambao inasemekana ni watiifu sana wa Sheria za barabarani

Kuhusu nidhamu barabarani ni serikali ndio inazembea kwa wajinga kama hao
Rwanda wameamua hawataki ujinga
Ila Kampala pazuri sana nimeenda mara mbili
 
Ujanjaujanja na wiziwizi kwa Waganda ndio hulka yao! Wana kamsemo kao la, "nnfella kumali"! Ahahahahaha!!!
 
Ndio saizi huwezi kupigwa, elfu 1 nadhani wanaita Lukumi. Polepole ni mpola mpola, hao boda usiku wengi wanakuwa maji unakuta anakuita sebo(mwanaume) tugende(twende). Wewe unamuita Janguu(njoo) sebo
Nimeanza kuelewa kwanini iddi amini aliitaka kagera. Yani kwa hayo maneno iko ni kihaya kabsaaaaa. Yani mhaya anaishi uganda bila shida ya lugha kabsa.
 
Nitatembea nikiwa nimedindisha mno. πŸ™†
 
Kaulizie chakula kinaitwa Rolex, hakipatikan mgahawani ni vijana barabarani wanakaanga chapati Inakunjwa Kwenye mayai ni very cheap. Wape hi ba sebo na wanyabo
Nimekipata. Nimekiona kinavyoandaliwa. Nimenunua kwa Ugx 2,000 maeneo ya Mulago.

Hii hapa ikiwa imeshawekwa kwenye mfuko mweupe.
 

Attachments

  • IMG_20250102_095937_983.jpg
    488.7 KB · Views: 4
Kampala nenda owino market,ghazaland market uone wenzetu walivyoyapangilia masoko yao.
Binafsi huwa nikienda Kampala huwa nafikia Galaxy hotel ipo city centre na ni cheap hata wahudumu wake wengine wanagonga kiswahili vizuri sana.
 
Uganda kiswahili kinatumiwa ZAIDI na wanajeshi UPDF na majambazi.
πŸ₯ΊπŸ˜€

Mbona leo nimekuta eneo lililopo katikati ya jiji pameandikwa kwa Kiswahili USIKOJOE HAPA?

Eneo lingine kwenye magari yanayoenda nje ya Uganda nimekuta wameandika kwa English na Kiswahili. Kwa Kiswahili wameandika: CHOO 300, KUOGA 1,000
 
Kampala nenda owino market,ghazaland market uone wenzetu walivyoyapangilia masomo yao.
Binafsi huwa nikienda Kampala huwa nafikia Galaxy hotel ipo city centre na ni cheap hata wahudumu wake wengine wanagonga kiswahili vizuri sana.
Ni typing error au ndicho unachomaanisha, MASOMO yao?

Gharama za hiyo hoteli zikoje mkuu? Chumba kwa siku ni bei gani?
 
Duu kipande cha broadway Kawempe tuliinjoi sana ,kyungu=jiko,Amazi =maji,Kaunga(ugali),binjanjaro(maharage.janguu (njoo).Nimeanza sahau mengine ila kampala Naipenda kuliko dar
Ugali siyo posho? Jana niliingia mgahawa fulani, nilipouliza vyakula vilivyopo, nilitajiwa na posho. Nikaagiza posho na nyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…