Maajabu ya jiji la Kampala

Maajabu ya jiji la Kampala

Nashukuru mkuu. Ni affordable, but ni hoteli kweli au ni gesti iliyochangamka? Wana nini cha ziada kisichopatikana gesti? Wanatoa "breakfast"?
Kwa Sisi wafanyabiashara unapochukua hotel karibu na masoko inakuwa rahisi kutembelea na kununua mizigo kiurahisi
 
Border unaweza kutumia kitambulisho gani kuingia kama huna passport na inakua valid kwa muda gani ukiwa ndani ya Uganda.
Emergency Travel Document inayotolewa na UHAMIAJI kwa wale wasiokuwa na PASSPORT. Life span yake ni miezi mitatu. Lakini pia, kikishatumika mara moja huwezi kulitumia tena awamu nyingine, inabidi ukatoe nyingine. Itakuruhusu kuingia tu mara moja, ukimaliza issue zako iwe utakuwa imekaa huko wiki moja au miezi miwili, utakapogobgewa tu muhuri wa kutoka, kinakuwa kimemaliza muda wake hata kama miezi mitatu haijaisha.
 
Huenda boda boda wa huku nao wapo rafu katika uendeshaji pikipiki kama wa Bongo. Nimeshuhudia zikipuuzia kuzingatia taa za kuongozea magari. Ni tofauti na boda boda wa Kigali ambao inasemekana ni watiifu sana wa Sheria za barabarani

Kuhusu nidhamu barabarani ni serikali ndio inazembea kwa wajinga kama hao
Rwanda wameamua hawataki ujinga
Ila Kampala pazuri sana nimeenda mara mbili
📌🔨
 
Back
Top Bottom