Mabibi na mabwana, heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Wahenga walisema staajabu ya Mussa lakini siyo ya Firauni.
Kwa kweli binadamu tuko tofauti. Huyu bwana alikuwapo siku Mh. Lissu aliponusurika kuuwawa. Je, ni Kwamba amesahau tukio lile au aligundua kuwa hatua ile ilikuwa halali?
Je, huyu si ndiye aliyemtuhumu jiwe kununua wabunge?
Ama kweli nani alijua kuwa petro katawi alikuwa afisa kipenyo wa daraja fulani huko?
Ama kweli staajabu ya Mussa!
Wahenga walisema staajabu ya Mussa lakini siyo ya Firauni.
Kwa kweli binadamu tuko tofauti. Huyu bwana alikuwapo siku Mh. Lissu aliponusurika kuuwawa. Je, ni Kwamba amesahau tukio lile au aligundua kuwa hatua ile ilikuwa halali?
Je, huyu si ndiye aliyemtuhumu jiwe kununua wabunge?
Ama kweli nani alijua kuwa petro katawi alikuwa afisa kipenyo wa daraja fulani huko?
Ama kweli staajabu ya Mussa!