Uchaguzi 2020 Maajabu ya kampeni CCM Arusha, Joshua Nassari aubamiza Upinzani

Kupiga kelele jukwaani sio kuwin hadhira iliyoko mbele yako.

Kijana kwanza kesha poteza credibility yake na aweza hata kumtoa mke ili apate chochote
Mwambieni lema afungashe virago arudiii moshiiii kibarua kineota nyasiii
 
Mwambieni lema afungashe virago arudiii moshiiii kibarua kineota nyasiii
Hakuna shida, kura zikikataa ataondoka tuu kama tunavyotaka afanye Magufuli kura zake zisipotosha aondoke kwa amani.

Akumbuke kujifanya mbabe sio kutaharibu maisha yake ya kustaafu bali kutawaletea shida Mama Jesca, jesca na wadogo zake na hata wapambe wake pia.
 
Usikute walimla tygo huku wakimrekodi na kumblackmail na Lazima ilikuwa hivyo
 
Kweki kabisa, kama risasi zinapigwa kushoto halafu anaumia kulia, yafaa kumwamini lisu.

Tumwamini zaidi kwa sababu alisema msimamo wa Magu kuhusu corina utawamaliza watabzania na kweli maiti zinazagaa barabarani.

Alikuja na barajoa, sijui iliishia wapi.
 
Yupo anayefanya sarakasi kuliko Magufuli?

Hajali maisha ya kina Azory, Ben, Lissu na wengi wa kwenye viroba?!...
Kama chadema mnafyekana wenyewe na hampelekani mahakamani, awabembeleze? Adui mwombee njaa.

Bosi wenu kaamua kumpoza lisu kwa kumwachia agombee urais kama malipo baada ya kushindikana kwa jaribio la kumwua memba wake.
 
Mbowe kawashika pabaya kila bandiko huachi kumtaja.

Jiwe kakushikia akili hakuna unapothubutu kumtaja hata kwa jina lake....
Ila kweli wanachama wa chadema skili zao ni sawa na za nyumbu. Hivi kweli Mbowe ana jipya zaidi ya mapambio yasiyo na maneno?
 
Ila kweli wanachama wa chadema skili zao ni sawa na za nyumbu. Hivi kweli Mbowe ana jipya zaidi ya mapambio yasiyo na maneno?

Utopolo FC.

Hivi kweli jiwe ana jipya zaidi ya uvumbuzi huu:

Mungu hoyeeeee!

Na manyumbu hata kesho yataitika tena, hoyeeeee!

Mungu hana ushirika na wauwaji, watesaji au watekaji!

Na muiache mipango yenu ya wizi wa kura maana huko ICC hamtamsindikiza.
 

Jina hilo linamfiti vilivyo kama nguo ya kushonesha: "dogo jinga."
 
Huenda Mungu asiwe na ushirika na Magufuli kwakile mnachodai kuwa Ni muuaji, lakini pia aiwe na ushirika na wewe kwa mmbo kengine madogomadogo, hivyo basi, achana na kazi ya kutoa hukumu.
 
Hata Lissu mwenyewe🚶.

Ungemalizia kabisa ili manyumbu yafurahi zaidi:

"Hata Lissu mwenyewe ni CCM na jiwe amepanga kumpa kakazi kadogo baada ya uchaguzi."

Yatakuwa yamestuka. Hata ka like kidogo yamekunyima? Kwamba ukweli hayaujui?

Ni njaa tu ndiyo ufahamu wote inayatoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…