Maajabu ya kiberiti kilivyonisaidia kuficha aibu ugenini

Maajabu ya kiberiti kilivyonisaidia kuficha aibu ugenini

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
1688322343867.png


Nakumbuka hapo miaka ya 2015 niliwahi kwenda ugenini siku 3 hivi kuufatilia mambo yangu, ilinibidi niende kwa mjomba wangu alieniasa niende kwake.

Sasa tatizo nililokuwa nalo enzo hizo kinyesi changu kilikuwa kinanuka sana, yani nikitoka huko chooni ni kunanuka si kidogo, nilikuwa nakula mtaani nahisi ndio chanzo.

Nikiwa kwenye basi kuelekea huko, katika kuperuzi peruzi huko fb nikaona kuna mtu kashauri kwamba kiberiti kinakata harufu, nilichukulia ni kama utani ila nilinunua kiberiti kimasihara.

Nilipofika huko, mda wa kwenda chooni ulipofika nikabeba na kiberiti changu, shughuli nimemaliza choo kinatoa harufu si mchezo, nikamwaga maji (kuflash), nikachukua kiberiti nikawasha njiti 2 nikatupia kwenye choo, yani harufu yote ikakata, nilishangaa sana.


Sikuwa na hofu tena ya kuaibika kwa choo kinachonuka,

Kwa siku tatu nilizokaa pale nilitumia njiti 4 tu

Mbinu hii nimewahi kuitumia pia kwenye gesti zenye vyoo vyenye harufu, natupia njiti 2 harufu inakata.

NB: naona watu wanahofia choo kuwaka moto, Hakuna kitu hiki, Njiti ikishaingia kwenye tundu la choo inazima kwenye maji ya choo, pia nacho kinyesi hakiwezi kuwaka moto kwasababu kina unyevu mwingi.
 
View attachment 2676567

Nakumbuka hapo miaka ya 2015 niliwahi kwenda ugenini siku 3 hivi kuufatilia mambo yangu, ilinibidi niende kwa mjomba wangu alieniasa kwa kuwa mimi ni mgeni kwenye mji huo nikae kwake atanihifadhi.

Sasa tatizo nililokuwa nalo enzo hizo kinyesi changu kilikuwa kinanuka sana, yani nikitoka huko chooni ni kunanuka si kidogo.

Nikiwa kwenye basi kuelekea huko, katika kuperuzi peruzi huko fb nikaona kuna mtu kashauri kwamba kiberiti kinakata harufu yote, nilichukulia ni kama utani tu ila nilinunua kiberiti.

Nilipofika huko, mda wa kwenda chooni ulipofika nikabeba na kiberiti changu, shughuli nimemaliza choo kinatoa harufu si mchezo, nikamwaga maji nikawasha kinjiti nikatupia kwenye tundu la choo, Maajabu!! yani harufu yote imekata, nilishangaa sana.

Sikuwa na hofu tena ya kuaibika kwa choo kinachonuka, ni mwendo wa kuwasha kanjiti tu au vinjiti viwili, kwisha.
Ni hatari hasa choo Cha shimo Huwa Kuna gesi kinaweza lipuka
 
View attachment 2676567

Nakumbuka hapo miaka ya 2015 niliwahi kwenda ugenini siku 3 hivi kuufatilia mambo yangu, ilinibidi niende kwa mjomba wangu alieniasa niende kwake.

Sasa tatizo nililokuwa nalo enzo hizo kinyesi changu kilikuwa kinanuka sana, yani nikitoka huko chooni ni kunanuka si kidogo.

Nikiwa kwenye basi kuelekea huko, katika kuperuzi peruzi huko fb nikaona kuna mtu kashauri kwamba kiberiti kinakata harufu, nilichukulia ni kama utani ila nilinunua kiberiti kimasihara.

Nilipofika huko, mda wa kwenda chooni ulipofika nikabeba na kiberiti changu, shughuli nimemaliza choo kinatoa harufu si mchezo, nikamwaga maji nikawasha kinjiti nikatupia kwenye tundu la choo, Maajabu!! yani harufu yote imekata, nilishangaa sana.

Sikuwa na hofu tena ya kuaibika kwa choo kinachonuka, ni mwendo wa kuwasha kanjiti tu au vinjiti viwili, kwisha.
Ulikuwa unakula makapi yaliyooza bila shaka
 
View attachment 2676567

Nakumbuka hapo miaka ya 2015 niliwahi kwenda ugenini siku 3 hivi kuufatilia mambo yangu, ilinibidi niende kwa mjomba wangu alieniasa niende kwake.

Sasa tatizo nililokuwa nalo enzo hizo kinyesi changu kilikuwa kinanuka sana, yani nikitoka huko chooni ni kunanuka si kidogo.

Nikiwa kwenye basi kuelekea huko, katika kuperuzi peruzi huko fb nikaona kuna mtu kashauri kwamba kiberiti kinakata harufu, nilichukulia ni kama utani ila nilinunua kiberiti kimasihara.

Nilipofika huko, mda wa kwenda chooni ulipofika nikabeba na kiberiti changu, shughuli nimemaliza choo kinatoa harufu si mchezo, nikamwaga maji ila kaharufu kapo, nikachukua kiberiti nikawasha kinjiti nikatupia kwenye tundu la choo, yani harufu yote imekata, nilishangaa sana.

Sikuwa na hofu tena ya kuaibika kwa choo kinachonuka, ni mwendo wa kuwasha kanjiti tu au vinjiti viwili, kwisha.
Hadi unaondoka kwa mjomba ulikuwa umeshatumia Bunda ngapi?
 
View attachment 2676567

Nakumbuka hapo miaka ya 2015 niliwahi kwenda ugenini siku 3 hivi kuufatilia mambo yangu, ilinibidi niende kwa mjomba wangu alieniasa niende kwake.

Sasa tatizo nililokuwa nalo enzo hizo kinyesi changu kilikuwa kinanuka sana, yani nikitoka huko chooni ni kunanuka si kidogo.

Nikiwa kwenye basi kuelekea huko, katika kuperuzi peruzi huko fb nikaona kuna mtu kashauri kwamba kiberiti kinakata harufu, nilichukulia ni kama utani ila nilinunua kiberiti kimasihara.

Nilipofika huko, mda wa kwenda chooni ulipofika nikabeba na kiberiti changu, shughuli nimemaliza choo kinatoa harufu si mchezo, nikamwaga maji ila kaharufu kapo, nikachukua kiberiti nikawasha njiti 2 nikatupia kwenye tundu la choo, yani harufu yote imekata, nilishangaa sana.

Sikuwa na hofu tena ya kuaibika kwa choo kinachonuka,

Kwa siku tatu nilizokaa pale nilitumia njiti 4 tu
Asante kwa taarifa mkemia.
 
Tatizo linaanzia hapo. Ratiba yako ya kwenda chooni siyo rafiki kwa afya ya tumbo. Ndani ya siku tatu umeenda chooni mara 2 tu kwa mahesabu ya gogo moja njiti 2. Jitahidi kuongeza ratiba za kuhudhuria chooni.
siku ya kwanza nilifika usiku, nilishaenda chooni nikiwa safarini.
 
Back
Top Bottom