Chapati Tatu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2024
- 338
- 740
- Thread starter
- #21
Mm sinunui hapaSio Bachela wote wananunua chakula na kula hapo, wapo wanaojipikia wenyewe maghetton kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm sinunui hapaSio Bachela wote wananunua chakula na kula hapo, wapo wanaojipikia wenyewe maghetton kwao.
Jero kubwa sana kwa mama lishe, inaharibu hesabuHawa mama lishe wabahili sana ,wanaona gharama kununua dumu la maji la mia 5 ,bora wasuzie hayo hayo kuanzia rukwili mpaka ruchwili.
na ubachela wangu huu wote sijawahi kununua wala kula chakula toka mazingira kama haya. haya niliyafanya wakati niko chuo enzi zile za kipindi kileKununua chakula na kula chakula kinachoandaliwa kwenye mazingira haya ni muujiza mmojawapo wa kuishi kibachela.
.
Tupe muujiza wako
View attachment 3078746maajabu
Wengi tumezaliwa na kukua mazingira hayo.Wewe huwezi kujua utamu wake.Mm sinunui hapa
Shida ni hali ya usafi hapo, huo mchuzi mtam lkn ni salama???Mbona ni sehemu murua sana .Nini shida hapo?
Umeoa???na ubachela wangu huu wote sijawahi kununua wala kula chakula toka mazingira kama haya. haya niliyafanya wakati niko chuo enzi zile za kipindi kile
Umeoana ubachela wangu huu wote sijawahi kununua wala kula chakula toka mazingira kama haya. haya niliyafanya wakati niko chuo enzi zile za kipindi kile
Ila kweliWengi tumezaliwa na kukua mazingira hayo.Wewe huwezi kujua utamu wake.
sijaoa bado japo nanyemelea uzeeUmeoa
Ila kweli
Unakula wap??sijaoa bado japo nanyemelea uzee
Ukimaliza unawasha mwenge unaanza kukimbizaZiko Affordable!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukimaliza unawasha mwenge unaanza kukimbiza
sehemu wanakouza chakula lakini si mazingira kama hayo mkuu na wakati mwingine napika mwenyewe nikiwa na muda.Unakula wap??
Fanya uoe, faaaaaaanya uoesehemu wanakouza chakula lakini si mazingira kama hayo mkuu na wakati mwingine napika mwenyewe nikiwa na muda.
Huyu ni senior bachalaKununua chakula na kula chakula kinachoandaliwa kwenye mazingira haya ni muujiza mmojawapo wa kuishi kibachela.
.
Tupe muujiza wako
View attachment 3078746maajabu
Dar kuzuri tu wkt wa jua ila ikinyesha mvua hapo utapakataa kua sio hapoKununua chakula na kula chakula kinachoandaliwa kwenye mazingira haya ni muujiza mmojawapo wa kuishi kibachela.
.
Tupe muujiza wako
View attachment 3078746maajabu
Huyu apewe medaliHuyu ni senior bachala
bado ni mwanachama wa kataa ndoa mkuuFanya uoe, faaaaaaanya uoe
Huwa unanunua supu ya bei gan??Kwa Mama ntilie nakula Supu ambayo naiona ipo jikoni ya moto na chapati naona zinatoka jikoni ila miugali sijui miwali sili ,nikibwana sana na njaa mchana na sipo home nakula Zege na kuku wa kubanikwa.