Maajabu ya Mbowe, Fatma Karume na Zitto: Wako kimya licha ya gharama za maisha kupanda. Kipindi Magufuli kaziba maslahi yao kelele kila siku!

Maajabu ya Mbowe, Fatma Karume na Zitto: Wako kimya licha ya gharama za maisha kupanda. Kipindi Magufuli kaziba maslahi yao kelele kila siku!

Status
Not open for further replies.
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania masrahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana:

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora,uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana ,wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake:

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA nae alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume nae ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
Rudi shule tafadhali.
 
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania masrahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana:

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora,uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana ,wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake:

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA nae alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume nae ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
Baada yakuimba mapambio kwa watawala mufilisi kutoka cccm Sasa wanawakomesha ndio mnawakumbuka akina Mbowe ikiwa nyakati zile wanataabishwa na watawala wenu nyie mlikuwa mnawaona sio wazalendo! now tulieni mpaka siku yatakapo wakuta makubwa zaidi ya haya wanayotenda cccm huenda mkazinduka Mimi naona bado kibano kiongezeke watz ni maBWEGE sana
 
Haswa tena Zitto na Mbowe hatari sana hawa licha ya kuwa na chawa wengi humu!
Hamna shukrani ninyi. Wewe umeshindwa nini kujipigania au kupigania watanzania. Wakati wanasoteshwa jela na kufilisiwa wewe uliwasaidia nini? Waache waishi watakavyo. Hawakuzaliwa kuwa watetezi wako. Wanapojitolea hata kidogo yapasa tuwashukuru.
 
Binafsi napata mshangao sana Mafuta yanapanda zaidi na zaidi ,sio Mnyika ,sio Zito,sio Mbowe ,sio upinzani Maisha yanakua magumu kwa wananchi wengi ila kuna mtandao unanufaika zaidi

Awamu YA tano wakati serikali inajenga miundo mbinu ,upinzani walikua wanasema wananchi hawali miundo mbinu

Sasa hivi hawasemi wananchi kama watakula Katiba
Yaani kura uwape CCM, ikija hali tete uwalilie wapinzani. Fikra hizi taaabu kwelikweli.
 
Nimehisi kichefuchefu na kutapika

Uandishi mbovu haijawahi tokea hapa JF

Mkuu unaandika kama paka anapokunywa maziwa kwenye sahani , Tunaita paka anakunywa maziwa kwa kurapa rapa
Mpumbavu mkubwaa ww..fisi maji..alichoa dika ni kibaya hicho sio ukwel kabisaa..fala mkubwaa weyeee..
 
Nakwambia utambue Mbowe hajahawi kuwa mwanasiasa yule ni jambazi kama majambazi wengine! Kilichokuwa kinamfanya ampinge sana Magufuli ni ukabila wake tu! Mikengeza ataendela kuwatapeli miaka yote manyumbu mnashanglia! Hajawahi hata kujenga Godauni la chama pale ufipa tokea miaka hiyo mnakaa kwenye Gofu harafu ujinga mmoja anaema CHADEMA ina maono! Stupid!
Sasa kinakuuma nini? Kama hali ni tete nenda kawalilie wabunge wako wa CCM.
 
Yaani kura uwape CCM, ikija hali tete uwalilie wapinzani. Fikra hizi taaabu kwelikweli.
Kazi ya kuijenga Nchi ni yetu sote ,kazi ya upinzani ni uangalizi (Watchdog) katika Nchi ,kuona kama utawala bora upo,na kutoa ushauri, hawatakiwi kusubiri kuaribike ndio watoe ushauri
 
Kazi ya kuijenga Nchi ni yetu sote ,kazi ya upinzani ni uangalizi (Watchdog) katika Nchi ,kuona kama utawala bora upo,na kutoa ushauri, hawatakiwi kusubiri kuaribike ndio watoe ushauri
Mliwabeza uchaguzi ulipovurugwa. Waacheni wafanye mambo kwa wakati wanaoona unafaa. Nigekuona mwenye busara kama lawama za kwanza zingeelekezwa kwa wabunge wa ccm.
 
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana:

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake:

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
Wewe unadhani hao uliowataja wana majibu ya kero zetu?

Tuanze na Katiba mpya kwanza
 
Kwani mtoa mada wewe ni bubu? Kwanini usipige kelele wewe Kwanza mpaka ushurutishe wengine?. Tatizo mmezidi unafiki nyie no mashujaa nyuma ya keyboard tu wacha muisome
Hakika mkuu. Nyuma ya keyboard wanaharakati ni wengi tutoke sasa kwenye kupambania hilo asemalo. Sio kila muda utawaelewa nao wana fikra zao pia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom