Mungu angeingilia kati kwa kuiondoa ccm sasa hivi tungekuwa tumeondoa mzizi wa tatizo ila angalia sasa bado tunaendelea kulilia tu.Sema basi ukweli huyo JPM
alikuwa jambazi au siyo?
Alikuwa muuaji au siyo?
Alikuwa malaya au siyo?
Mungu aliingilia kati March 17
2021.
Ukweli utakuweka huru!
Wewe ndo huna hoja! Mimi sio nyumbu kama nyinyi hamjui hata mnachotaka! Mbowe ndo mkombozi wenu! Mataahira kweli!una hela ya kumtunza mke wazaz wako na watoto, una hela ya kula au upo bize kuandika vitu off point..? Aliyekudanganya hizo porojo mwambie asikufanye huna akili...
Chuki ya Ukabila na Ukanda aliyokuwa nayo Mbowe wakati wa Magufuli ni Ipi ?Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.
Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!
Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!
Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.
Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!
Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!
Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!
Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
Huwezi kuiona maana wewe ni wale wale! Vipi viti malum hapo CHADEMA Wachaga ni wangapi?Chuki ya Ukabila na Ukanda aliyokuwa nayo Mbowe wakati wa Magufuli ni Ipi ?
Kumbe mlikuwa mnauchungulia huu uzi kimyakimya sasa umepata angalau point ya kubishia.Chuki ya Ukabila na Ukanda aliyokuwa nayo Mbowe wakati wa Magufuli ni Ipi ?
Kamanda umetapika nyogo! Siku ukijifunza kutafuta UKWELI katika mawazo yanayotofautiana na yako utakuwa huru!stupid is your ass and your mother's ass, wewe huko ccm umejenga nini au kupora majengo ya serikali mnajihis mmejenga hiv mashoga ya ccm mlishamaliza akili narudia tena mbowe hatafut mashoga kama maisha yamekuelemea wewe NGURUWE kufa kwa njaa zezeta wewe unatafta basha kwa nguvu unafikir ulivyozoea kuliwa utumbo huko lumumba kila mtu anakutaka wewe nguruwe narudia tena kufa kwa njaa mbowe hatafuti mashoga kama wewe punga.
zitto na msimbe fatma ni udini tu.Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.
Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!
Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!
Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.
Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!
Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!
Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!
Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
Hatua kwa hatua atafanya tu! Trust in GOD!Mungu angeingilia kati kwa kuiondoa ccm sasa hivi tungekuwa tumeondoa mzizi wa tatizo ila angalia sasa bado tunaendelea kulilia tu.
Jamaa kaamua kujimwagia kabisa asali kulamba kaona kunamchelewesha
Hivyo ndivyo inavyotakiwa kueleweka! Kila mmoja na lwake!
Kumtetea mtz? not anymore! Ni lini wananchi walidai maisha Ben saa nane?
Maisha ya watu waliookotwa ufukweni kwenye viroba
Hakuna kuteteana tena! Kila mmoja aamke!
Utatoboa kiaje wakati buku 1O haifiki hata mlo wa jioniHela imekuwa ngumu sana kuipata na ukiipata haikai inapeperuka
Worst president kwa vyeti feki wote nchini😂 he was your worst nightmare ila walau watu wa hali ya chini walifurahia utaifa.He was the worst president ever.
Toleo la Kwanza kaka.Ni kweli wanasiasa wengi wanapigania maslahi binafsi lakini mapigano yao pia yanatija kwa uma.
Kingine unatakiwa kujuwa kuwa Wabongo ni watu WANAFIKI sana.
Kelele za akina Zitto na Mbowe ni kukatiwa line za hela tu. Walizoea kwa Jakaya wakiropoka sana wanaitwa Ikulu na kulambishwa asali wanakaa kimya. Hela ikikata wanaazisha tena vugu vugu.Waseme tu kama walivyokuwa wanasema zamani !! Tena kwa sasa ndio upo uhuru wa kusema kuliko ilivyokuwa awamu iliyopita !! Watu wakiwaona kimya hivi sasa ndio speculation za Asali zinakuwa na nguvu !!
Kadanganye watotot wa chekechea kuwa Vita ya Urusi na Ukraine inahusiana na ujinga unaoendelea nchini.Huna akili wewe, mbowe ndo Rais wa Russia au Ukraine,
Huwa kabla hamjaandika uharo wenu tumia akili kutafakari
Huyo hana ajualo! Hajui kuwa mafuta yalishaanza kupanda kabla hata Rassia haijaivamia Ukraine!Kadanganye watotot wa chekechea kuwa Vita ya Urusi na Ukraine inahusiana na ujinga unaoendelea nchini.
Huna hojaHuwezi kuiona maana wewe ni wale wale! Vipi viti malum hapo CHADEMA Wachaga ni wangapi?
Aliezema anataka upinzani ni nani ndgu yangu??Kuwa mpinzani wewe sasa ili ulete upinzani uutakao!
Hatuwezi kunyamazia upotoshaji wa kijinga hapa jfKumbe mlikuwa mnauchungulia huu uzi kimyakimya sasa umepata angalau point ya kubishia.
Mmawia njoo huku.