Maajabu ya Mbowe, Fatma Karume na Zitto: Wako kimya licha ya gharama za maisha kupanda. Kipindi Magufuli kaziba maslahi yao kelele kila siku!

Maajabu ya Mbowe, Fatma Karume na Zitto: Wako kimya licha ya gharama za maisha kupanda. Kipindi Magufuli kaziba maslahi yao kelele kila siku!

Status
Not open for further replies.
Sema basi ukweli huyo JPM
alikuwa jambazi au siyo?
Alikuwa muuaji au siyo?
Alikuwa malaya au siyo?
Mungu aliingilia kati March 17
2021.
Ukweli utakuweka huru!
Mungu angeingilia kati kwa kuiondoa ccm sasa hivi tungekuwa tumeondoa mzizi wa tatizo ila angalia sasa bado tunaendelea kulilia tu.
 
una hela ya kumtunza mke wazaz wako na watoto, una hela ya kula au upo bize kuandika vitu off point..? Aliyekudanganya hizo porojo mwambie asikufanye huna akili...
Wewe ndo huna hoja! Mimi sio nyumbu kama nyinyi hamjui hata mnachotaka! Mbowe ndo mkombozi wenu! Mataahira kweli!
 
Acha mama ajenge nchi ilimradi tu hakuna ubabe na ushamba wa awamu iliyopita. Pia acha Makamanda wapumzike na kuvuta pumzi kidogo maana waliteswa sana wala hakuna aliyewatetea enzi za mwendazake.
 
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
Chuki ya Ukabila na Ukanda aliyokuwa nayo Mbowe wakati wa Magufuli ni Ipi ?
 
stupid is your ass and your mother's ass, wewe huko ccm umejenga nini au kupora majengo ya serikali mnajihis mmejenga hiv mashoga ya ccm mlishamaliza akili narudia tena mbowe hatafut mashoga kama maisha yamekuelemea wewe NGURUWE kufa kwa njaa zezeta wewe unatafta basha kwa nguvu unafikir ulivyozoea kuliwa utumbo huko lumumba kila mtu anakutaka wewe nguruwe narudia tena kufa kwa njaa mbowe hatafuti mashoga kama wewe punga.
Kamanda umetapika nyogo! Siku ukijifunza kutafuta UKWELI katika mawazo yanayotofautiana na yako utakuwa huru!
 
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!
zitto na msimbe fatma ni udini tu.

Hao watu ni wabaguzi sana.
 
Hivyo ndivyo inavyotakiwa kueleweka! Kila mmoja na lwake!
Kumtetea mtz? not anymore! Ni lini wananchi walidai maisha Ben saa nane?
Maisha ya watu waliookotwa ufukweni kwenye viroba
Hakuna kuteteana tena! Kila mmoja aamke!



Sawa mwanasiasa
 
Naomba watu watulie na wakae wakisikilizia maumivu yanavyoingia kwakuwa tumefika hapa tulipo sio kwasababu ya Mbowe ila ccm.
 
Ni kweli wanasiasa wengi wanapigania maslahi binafsi lakini mapigano yao pia yanatija kwa uma.

Kingine unatakiwa kujuwa kuwa Wabongo ni watu WANAFIKI sana.
Toleo la Kwanza kaka.
Waseme tu kama walivyokuwa wanasema zamani !! Tena kwa sasa ndio upo uhuru wa kusema kuliko ilivyokuwa awamu iliyopita !! Watu wakiwaona kimya hivi sasa ndio speculation za Asali zinakuwa na nguvu !!
Kelele za akina Zitto na Mbowe ni kukatiwa line za hela tu. Walizoea kwa Jakaya wakiropoka sana wanaitwa Ikulu na kulambishwa asali wanakaa kimya. Hela ikikata wanaazisha tena vugu vugu.

Magufuli alikuwa anawatimua hataki hata kuwasikiliza. Ndio zile chuki za raisi mshamba, dikteta uchwara na anaua upinzani 😂😂😂
 
Huna akili wewe, mbowe ndo Rais wa Russia au Ukraine,
Huwa kabla hamjaandika uharo wenu tumia akili kutafakari
Kadanganye watotot wa chekechea kuwa Vita ya Urusi na Ukraine inahusiana na ujinga unaoendelea nchini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom