To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Sawa mkuuUkiona mwanamume anamkataa mtoto ujue kweli sio wa kwake. Maana nyinyi mna tabia ya kusingizia wanaume mimba ambazo sio zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuUkiona mwanamume anamkataa mtoto ujue kweli sio wa kwake. Maana nyinyi mna tabia ya kusingizia wanaume mimba ambazo sio zao
Anaweza kuwa mama wa kamboUnamaanisha hawa mama wa kambo?
Mbona kinyonge sanaSawa mkuu
Mama wa kambo michosho mkuu hao wana roho mbayaAnaweza kuwa mama wa kambo
Anaweza kuwa shangazi
Anaweza kuwa bibi
Anaweza kuwa mama mdogo
Ndugu hawa viumbe upande huo nawaheshimu ni asilimia ndogo kwao wenye roho za husuda .
Bravo wanawake wote duniani[emoji123]
Sina la kuongeza,umemalizaMbona kinyonge sana
Sawa ndo muache sasa huo mchezoSina la kuongeza,umemaliza
Mama wa kambo walio wengi ndiyo hao katika asilimia ndogo walio na roho za husuda ila walio baki ndugu ni raha tupu .Mama wa kambo michosho mkuu hao wana roho mbaya
Sawa mkuuSawa ndo muache sasa huo mchezo
BarikiwaAnaweza kuwa mama wa kambo
Anaweza kuwa shangazi
Anaweza kuwa bibi
Anaweza kuwa mama mdogo
Ndugu hawa viumbe upande huo nawaheshimu ni asilimia ndogo kwao wenye roho za husuda .
Bravo wanawake wote duniani[emoji123]
Nimepokea wakwetu[emoji120]Barikiwa
Uzuri wa sisi wenye ndevu hasa wale wenzetu wanaojitoa kuhudumia mabao ya wengine hawanaga roho mbaya kwenye kuhudumia watoto wa kufikia wa wake zao.Mama wa kambo walio wengi ndiyo hao katika asilimia ndogo walio na roho za husuda ila walio baki ndugu ni raha tupu .
Mimi ni shahidi nimelelewa na wamama ambao hawakunizaa ila nikisema uende kuwauliza kuhusu mimi hapana hata mmoja atakuambia mimi ni mtoto wa kufikia zaidi watakuambia ni mtoto wetu .
Tofauti na sisi wenye ndevu mambo ni mengi na mda ni mchache
Na ukiona umewaelewa ujue unakaribia kufaKAKA HAO VIUMBE HAWAELEWEKI HATA SIKU MOJA.
HUWEZI UKAWADEFINE.
Ukikuta mama wa kambo ni msumbufu kwa mtoto wa kufikia chanzo mara nyingi uwa ni mwanaume .Niulize kwanini?Uzuri wa sisi wenye ndevu wale wenzetu wanaojitoa kuhudumia mabao ya wengine hawanaga roho mbaya kwenye kuhudumia watoto wa kufikia wa wake zao.
Ila hawa mama wa kambo labda katika 100 no huyo 1 unayemzungumzia akishakuwa na wa kwake wewe mtoto wa kufikia utateseka sana
Kwa uzoefu wangu hawa wamama wa kufikia wana roho mbaya. Waulize wanawake wenyewe watakwambiaUkikuta mama wa kambo ni msumbufu kwa mtoto wa kufikia chanzo mara nyingi uwa ni mwanaume .Niulize kwanini?
Mara nyingi sisi ukishaoa mke mwingine au kuleta mtoto katika ndoa mapenzi uwa yapo kwa mke sana kuliko kwa mwanao
Ni hapo utaanza kumuona mtoto kama anakuharibia familia sasa ni aghalabu mwanamke hampende mtoto ambaye baba yake mwenyewe ana muda naye.
Ila all in all mwenye uwezo wa kufanya mama wa kambo ampende mtoto wa kufiki a ni sisi wenye ndevu ila ndiyo vile mambo ni mengi mda ni mchache basi mtoto anaishia kuadhirika.
Mama wa kambo ni mama ila itategemea na baba kuendelea kuwa baba ikiwa mama wa mtoto hayupo tena.
Mkuu Mzee wa kupambania naelewa unachonieleza japo wema na wazuri wapo.Kwa uzoefu wangu hawa wamama wa kufikia wana roho mbaya. Waulize wanawake wenyewe watakwambia
na tumefikaWanakuja na silaha za jadi jiandae 😂😂😂
Ni sawa mkuuMkuu Mzee wa kupambania naelewa unachonieleza japo wema na wazuri wapo.
labda wanaume wa kwenu huko magomeniNo 5, wanaume ndo wanaongozaaa.
Yaan wanaume wa sahiv ni wambea, wakuda, wasengenyaji, hawana siri. Huko vijiweni ni balaaa.
Wakiongozwa na Boda boda, uwiiiiih