Maajabu ya mwanamke

Hakuna la ukweli kuhusu sisi hapo hata moja....

ni kweli kabisa ndo mana ni wanaume wanaotupa watoto kwenye tundu la choo..apo vp?
 
ni kweli kabisa ndo mana ni wanaume wanaotupa watoto kwenye tundu la choo..apo vp?
Ila nyie mnaozaa na kutelekeza huwa mnavifanya ndotoni au sio. Cases za mwanamke kutupa mtoto chooni kwasababu mwanaume kamkataa na mwanaume anaetelekeza familia anahamia kwa hawara yupi ana afadhali
 
So wanawaume hawafanyi tena?
 
usisahahu mwnamke ndo kiumbe pekee anaechongnisha wtt na baba wasipendane apendwe yy tu"
kwa kuwa watoto hawaoni ambayo baba yao anawafanyia mama yao? Mtoto anaekubali kulishwa sumu ikiwa baba ana play part vizuri basi huyo mtoto ni laana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…