Maajabu ya mwanamke

Inaendelea;

18.Mwanamke ndio kiumbe pekee kinachoweza kucheka kicheko Cha huzuni na kulia machozi ya furaha.

19.Mwanamke akisema " ndio" atakuwa amemaanisha " hapana" na akisema " hapana" atakuwa amemaanisha " ndio"

20.Mwanamke akichepuka Ni hatari kuliko mwanaume akichepuka.Namaanisha mwanamke akipata mchepuko huko nje anaingia Mazima na akili zake zote na kumsahau/ kupunguza mapenzi kwa mumewe tofauti na mwanaume ambaye anaweza akapata mchepuko na bado akaendelea kumpenda mkewe.
 
Ukiachilia mbali binadamu, mwanamke ni kiumbe ambaye hajawahi kueleweka anataka nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…